Mwakioja atekeleza ahadi, akabidhi pampu ya maji Lanzoni – HabariLeo
TANGA: MBUNGE wa Jimbo la Mkinga, Twaha Mwakioja, ametekeleza ahadi yake baada ya kukabidhi pampu ya maji kwa ajili ya Shule ya Sekondari Lanzoni, pamoja na kutoa fedha taslimu na vifaa mbalimbali vya maendeleo na michezo katika wilaya hiyo. Katika…
MBALI YA DKT NCHIMBI ,WANACHAMA HAWA PIA WALIWAHI KUFUKUZWA CCM
NA MATUKIO DAIMA MEDIA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), katika historia yake, kimewahi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya baadhi ya wanachama na viongozi wake, hatua zilizofikia hadi kuwavua au kuwafukuza uanachama kutokana na sababu mbalimbali za kisiasa na…
VIGOGO WATANO WA CCM WALIIOONDOKA KATIKA NYADHIFA ZAO CHINI YA RAIS SAMIA
Wanasiasa hustaafu, kujiuzulu au kuondoka madarakani kutokana na sababu mbalimbali za kibinafsi, kisiasa na kisheria. Baadhi hujiuzulu au kuachia ngazi ili kulinda umoja wa chama, kupisha damu mpya, au kupisha safu mpya ya uongozi inapotakiwa na Mkuu…
NDEJEMBI KUMRITHI NCHIMBI, NI MWANASIASA WA AINA GANI?
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempendekeza Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu mpya wa Rais wa Tanzania, baada ya aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujiuzulu. Uamuzi huo umefikiwa na Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti…
Mambo 12 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais
Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati. Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama…
Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais
Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati. Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama…
Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais
Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati. Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama…
Video: CCM Yamvua Uanachama Nchimbi Siku Moja Baada ya Kujiuzulu
Global Publishers August 26, 2026 438 views 0 Comments CCM Yamvua Uanachama Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kumvua uanachama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel…
CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Makamu wa Rais – Video
Global Publishers August 27, 2026 876 views 0 Comments KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na leo jijini Dar es Salaam vimempitisha kwa kauli moja Waziri wa…
Harmonize Afichua Wasanii Walio kwenye Albamu Yake Mpya “31”
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ameweka wazi orodha ya nyimbo zitakazopatikana katika albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la “31”, ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize ameshirikisha mashabiki wake…