Vijana wa Mwanjelwa walivyogeuza kucha, rangi kuwa dili
Mbeya. Soko la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya ni miongoni mwa masoko yanayowakutanisha wafanyabiashara wa bidhaa na huduma mbalimbali, lakini ndani yake kuna kundi la vijana lililogeuza upakaji rangi na ubandikaji kucha kuwa chanzo cha kipato. Kwa…
GIZ YAAHIDI KUTOA EURO MILIONI 39.8 KWA AJILI YA KUIMARISHA BIASHARA YA KIKANDA.
Na,Jusline Marco;Arusha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jamhuri ya Shirikisho ya Ujerumani zimethibitisha upya nia yao ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda kufuatia kuhitimishwa kwa majadiliano ya Ushirikiano wa Maendeleo, huku Ujerumani ikiahidi…
RC KHERI JAMES COMMENDS GOLDEN GLOW HOTEL INVESTMENT
By Matukio Daima Media Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has commended the investment made in Golden Glow Hotel, located in Kihodombi, Isakalilo Ward, Iringa Municipality, saying the investment will help boost the tourism sector and the…
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR – Matukio Daima Habari Home › Uncategories › MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR Aug 12, 2026
DKT. DOTO BITEKO ANOGESHA MASHINDANO YA NGALAWA TAMASHA LA KIZIMKAZI
Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa matukio makubwa ya kiburudani yanayoipamba Kizimkazi Festival 2026. Mashindano hayo yamefanyika…
SERIKALI YAZIDI KUSOGEZA HUDUMA ZA AFYA KWA WANANCHI MTWARA
Na Matukio Matukio Daima Media WANANACHI Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri,…
UPANUZI UWANJA WA NDEGE SINGIDA WAANZA KWA FIDIA
Elisante John, Singida, Hatua ya Serikali kupanua Uwanja wa Ndege wa Singida imeibua ombi kutoka kwa wananchi, kuondolewa kwenye maeneo yao, wakiomba thamani ya ardhi inayotumika katika fidia, ipandishwe kutoka Sh. 8,000 hadi Sh.10,000, kwa mita ya…
NAIBU WAZIRI NISHATI AHAMASISHA UMMA KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU SEKTA DOGO YA UMEME
Na Matukio Daima Media NAIBU Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza umma kupata taarifa sahihi kuhusu hali ya sekta ndogo ya umeme nchini, huku akitoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuendelea kutoa elimu…
MTOTO WA MIAKA 10 AOKOLEWA BAADA YA KUTAKA KUOZWA SAME
Serikali wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, imemuokoa mtoto mwenye umri wa miaka 10, jina limehifadhiwa, aliyekuwa ameachishwa shule na familia yake na kupelekwa kwa mwanaume kwa lengo la kumuozesha. Mtoto huyo, mwanafunzi wa Darasa la Pili katika Shule…
VEROTAS PLUMBING SULUHISHO LA MFUMO WA MAJI SAFI NA SALAMA.
NA CHAUSIKU SAID MATUKIO DAIMA MWANZA. KAMPUNI ya VEROTAS PLUMBING imeendelea kutoa suluhisho katika ujenzi na uboreshaji wa mifumo ya maji kwa wananchi, kwa kutoa bidhaa zenye ubora zinazolenga kuhakikisha mifumo hiyo inakuwa safi, salama na yenye…