Tundu Lissu Kuendelea Kujitetea Kesi ya Uhaini Leo Mahakamani
Shauri la uhaini namba 19605/2025 linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linaendelea leo Agosti 24, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo inaendelea katika hatua ya ushahidi wa utetezi, mbele ya jopo…
*DKT. MWIGULU: TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA NA KUDUMISHA AMANI*
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa kwa ujumla kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo. Amesema dunia inaendelea…
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Alipowasili hospitalini hapo, Dkt. Mwigulu…
Rais Samia Azindua Bwawa la Julius Nyerere, Atoa Tahadhari ya El Niño (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2115…