Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Tanzania yaandaa ziara ujumbe wa ADDI – HabariLeo

By admin
August 27, 2026 1 Min Read
Comments Off on Tanzania yaandaa ziara ujumbe wa ADDI – HabariLeo

DAR ES SALAAM: Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeandaa ziara maalumu ya ujumbe kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika (ADDI) katika Makumbusho ya Taifa la Tanzania, jijini Dar es Salaam.

Ziara hiyo iliyofanyika Agosti 26, 2026, imelenga kuwapa wageni fursa ya kujifunza historia, utamaduni na urithi wa Tanzania, pamoja na kuimarisha diplomasia ya utamaduni.

Ujumbe huo uliongozwa na Mwanzilishi na Rais wa ADDI, Balozi Arikana Chihombori-Quao kutoka Zimbabwe, ambaye amewataka Waafrika kuwa wamoja, kushikamana na kudumisha amani, akisisitiza umuhimu wa umoja katika kulinda na kuendeleza urithi wa Afrika.

Kwa upande wake, Muhifadhi Kiongozi wa Makumbusho na Nyumba za Utamaduni, Dk. Aloyce Mwambwiga, amewahimiza wananchi na wageni kutoka nje ya nchi kutembelea Makumbusho ya Taifa ili kujifunza zaidi kuhusu historia, utamaduni na urithi wa Tanzania.

Ziara hiyo ni sehemu ya jitihada za kuendeleza diplomasia ya utamaduni na kuitangaza Tanzania kupitia historia na urithi wake kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

S/SGT Mongo Apewa Tuzo, Milioni 1 na Madereva wa Malori – Video

Next

Dkt. Mwigulu Ampongeza Ndejembi, Aeleza Mikakati ya Serikali Kuhusu Mawasiliano na Usafiri – Vudeo

Recent Posts

  • Europa League Kuamua! Salah Aongoza Trabzonspor Kwenye Mechi ya Marudiano
  • Watanzania 173 Warejea Nchini kwa Hiari Kutoka Afrika Kusini
  • *WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA*
  • Shigongo Ahoji Serikali Kuhusu Barabara za Mitaa Nyehunge – Video
  • Dkt. Mwigulu Ampongeza Ndejembi, Aeleza Mikakati ya Serikali Kuhusu Mawasiliano na Usafiri – Vudeo

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme