Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Burudani

Video: CCM Yamvua Uanachama Nchimbi Siku Moja Baada ya Kujiuzulu

By admin
August 27, 2026 1 Min Read
Comments Off on Video: CCM Yamvua Uanachama Nchimbi Siku Moja Baada ya Kujiuzulu

Global Publishers
August 26, 2026
438 views
0 Comments

CCM Yamvua Uanachama Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kumvua uanachama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Agosti 26, 2026, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba.

Dkt. Migiro amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kufanyika kwa vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM, vilivyokaa kujadili suala la maadili ya Dkt. Nchimbi ndani ya chama.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, vikao hivyo vilifikia uamuzi wa pamoja wa kumfuta uanachama Dkt. Nchimbi.

Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Dkt. Nchimbi, Agosti 25, 2026, kutangaza kujiuzulu nafasi yake ya Makamu wa Rais.

Akizungumza wakati wa kutangaza uamuzi huo, Dkt. Nchimbi alisema amejidhihirishia pasina shaka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahitaji Makamu mwingine wa Rais.

Kujiuzulu kwake kumeongeza mabadiliko makubwa katika uongozi wa juu wa Serikali, huku hatua ya CCM ya kumvua uanachama ikifuata muda mfupi baada ya tangazo lake la kujiuzulu.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Sababu 7 Zinazofanya Ndizi Mbivu Kuwa Tunda Bora kwa Afya

Next

Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais

Recent Posts

  • Europa League Kuamua! Salah Aongoza Trabzonspor Kwenye Mechi ya Marudiano
  • Watanzania 173 Warejea Nchini kwa Hiari Kutoka Afrika Kusini
  • *WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA*
  • Shigongo Ahoji Serikali Kuhusu Barabara za Mitaa Nyehunge – Video
  • Dkt. Mwigulu Ampongeza Ndejembi, Aeleza Mikakati ya Serikali Kuhusu Mawasiliano na Usafiri – Vudeo

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme