MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 27/2026:CCM YAMTIMUA NCHIMBI USIKU KWA USIKU ,UMOJA MOVIES WADAIWA KUWAVURUGA W’BIASHARA ZA VIDEO IRINGA
MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 27/2026:CCM YAMTIMUA NCHIMBI USIKU KWA USIKU ,UMOJA MOVIES WADAIWA KUWAVURUGA W’BIASHARA ZA VIDEO IRINGA – Matukio Daima Habari Home › Afya › MAGAZETI › MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 27/2026:CCM YAMTIMUA…
CCM WAMFUTA UANACHAMA DKT NCHIMBI ,NDEJEMBE AMRITHI UMAKAMU
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Kimemfuta uanachama Dkt Emmanuel Nchimbi ambae juzi alitangaza kujiuzulu nafasi ya umakamu urais na kustaafu siasa na utumishi wa umma . Pamoja na kujiuzulu CCM kimetangaza kumfuta uanachama wake ,katibu mkuu wa Chama Cha…
CCM Yampendekeza Ndejembi Kuwa Makamu wa Rais
Global Publishers August 27, 2026 36 views 0 Comments KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na leo jijini Dar es Salaam vimempitisha kwa kauli moja Waziri wa…
Dk Samia aongoza kikao Halmashauri Kuu ya CCM
DAR ES SALAAM; Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo Agosti 26, 2026.
Rais Samia Akutana na Kamati Kuu ya CCM Katika Kikao Maalum Dar
Global Publishers August 26, 2026 42 views 0 Comments Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar…
Dk Samia aongoza kikao Maalumu Kamati Kuu CCM
DAR ES SALAAM;Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar Es Salaam leo Agosti 26, 2026.
Kesi ya Uhaini: Lissu Akabiliana na Maswali ya Upande wa Jamhuri
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameanza kukabiliana na maswali ya upande wa Jamhuri baada ya kumaliza kutoa ushahidi wake mkuu katika kesi ya uhaini inayomkabili. Dodoso hilo limeanza baada ya Mahakama Kuu ya…
Harmonize Afichua Wasanii Walio kwenye Albamu Yake Mpya “31”
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ameweka wazi orodha ya nyimbo zitakazopatikana katika albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la “31”, ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize ameshirikisha mashabiki wake…
Airtel Fursa Lab Yazinduliwa Upya, Zaidi ya Watu 5,800 Wanufaika
Dar es Salaam. Wanafunzi, walimu na vijana nchini Tanzania wamepata fursa mpya ya kujifunza na kuendeleza ubunifu wa kiteknolojia baada ya Airtel Africa Foundation kuzindua upya jengo la Airtel Fursa Lab lililopo katika Shule ya Sekondari Kijitonyama,…
TAMASHA LA KITAIFA LA UTAMADUNI LAIMARISHA UMOJA NA URITHI×
Na Lilian Kasenene, Morogoro Matukio DaimaApp Tanzania inaendelea kuhamasisha mshikamano, umoja na utaifa, kulinda maadili, kuhifadhi mila na desturi pamoja na kuendeleza urithi wa kitamaduni, kupitia Tamasha la Nne la Kitaifa la Utamaduni linaloendelea…