Dk Samia aongoza kikao Halmashauri Kuu ya CCM
DAR ES SALAAM; Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo Agosti 26, 2026.
