Tundu Lissu Amaliza Kujitetea, Mahakama Yapumzika kabla ya Dodoso
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, leo Jumatano, Agosti 26, 2026, amehitimisha sehemu ya kwanza ya ushahidi wake katika kesi ya uhaini inayomkabili Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Lissu…
SAFARI YA MIONGO MITATU YA BALOZI DKT NCHIMBI NA KUJIUZULU KWAKE
Na Matukio Daima Media BALOZI Dk. Emmanuel Nchimbi amefunga ukurasa wa zaidi ya miongo mitatu katika siasa na utumishi wa umma, baada ya kutangaza kujitenga na nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kustaafu siasa pamoja na…
Karol G atoa Bilioni 3.1 Kusaidia Waathirika wa Tetemeko Colombia
Msanii mkubwa wa muziki kutoka Colombia, Karol G, ameonyesha mshikamano na wananchi walioathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi nchini humo baada ya kutoa mchango wa dola milioni 1.2 kupitia taasisi yake ya Con Cora Foundation. Kwa thamani ya takribani TSh…
Dk Nchimbi Atangaza Kujiuzulu Umakamu wa Rais na Kustaafu Siasa
Global Publishers August 25, 2026 828 views 0 Comments Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma. Dk Nchimbi ametoa taarifa hiyo leo Jumanne,…
BREAKING..DKT NCHIMBI AJIUZULU SIASA NA UTUMISHI WA UMMA
Makamu wa Rais Dr Emmanuel John Nchimbi amemwandikia barua Rais wa JMT kuwa ameamua kustaafu siasa na utumishi wa Umma hivyo ni sahihi kusema amejiuzulu nafasi yake ya Umakamu wa Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri. Taarifa imechapishwa kwenye ukurasa…
Tundu Lissu Afunguka Hadharani; Nimepigania Haki Tangu Nikiwa Shuleni – Video
Ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye sasa anajitetea mwenyewe katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Kanda ya Dar es Salaam, Lissu amefunguka namna ambavyo…
Tundu Lissu Afunguka Hadharani; Nimepigania Haki Tangu Nikiwa Shuleni
Ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye sasa anajitetea mwenyewe katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Kanda ya Dar es Salaam, Lissu amefunguka namna ambavyo…
Ariana Grande Amkosoa Trump, Akataa Muziki Wake Kutumika Kisiasa
Msanii maarufu wa Marekani, Ariana Grande, amemkosoa vikali Rais Donald Trump na timu yake baada ya kutumia wimbo wake “We Can’t Be Friends (Wait for Your Love)” katika video ya TikTok iliyokuwa ikiunga mkono sera za Trump kuhusu watu waliobadili jinsia.…
Linah Aahidi Burudani ya Kipekee Kwenye Miaka 30 ya Bongo Fleva – Video
Global Publishers August 22, 2026 12 views 0 Comments DODOMA: Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, amefunguka kuhusu maandalizi yake kuelekea shoo ya kusherehekea Miaka 30 ya Bongo Fleva, inayofanyika jijini Dodoma. Linah amesema mashabiki…
Dogo Janja Afunguka Kuhusu Ndoa yake na Irene Uwoya – Video
Global Publishers August 22, 2026 42 views 0 Comments Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende maarufu Dogo Janja, amefunguka kuhusu historia ya uhusiano wake na staa wa Bongo Movie, Irene Uwoya, akieleza ukweli kuhusu ndoa yao iliyowahi…