Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais Samia atoa neno
Unguja. Rais, Samia Suluhu Hassan amesema kero ya maji iliyodumu kwa muda mrefu Kizimkazi na maeneo mengine ya Kusini Unguja, imefikia mwisho, baada ya kuzindua miradi miwili ya maji huku akiwataka wananchi kuitunza miundombinu hiyo. Rais Samia ametoa…
Aliyedai fidia ya Sh40 milioni kwa kulea mimba ya mtoto asiye wake, agonga mwamba kortini
Singida. Omary Mgana, amegonga mwamba katika jitihada zake za kudai fidia ya Sh40 milioni kutoka kwa mke wake wa zamani, Hadija Willa, akidai alimficha ujauzito wa mwanaume mwingine wakati akifunga naye ndoa mwaka 1997. Omary alidai Sh10 milioni…
DCEA yateketeza ekari 603 za bangi Morogoro
Dar es Salaam. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeanza operesheni maalumu ya kuharibu mashamba ya bangi mkoani Morogoro, baada ya kubaini wakulima kuhamia maeneo ya mbali ndani na nje ya Hifadhi ya Mikumi. Katika operesheni…
Masaji si tiba ya kila maumivu, wataalamu waonya
Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameonya wananchi dhidi ya kukimbilia huduma za masaji wanapopata maumivu ya mgongo, shingo, miguu au misuli bila kwanza kufahamu chanzo cha tatizo, wakisema kufanya hivyo kunaweza kutoa nafuu ya muda huku ugonjwa…
Kwa nini GB 128 za simu yako zinawahi kujaa? Fanya hivi…
Dar es Salaam. Miaka iliyopita, simu yenye nafasi ya kuhifadhi taarifa ya GB32 au GB64 ilionekana kuwa na uwezo mkubwa, lakini mabadiliko ya matumizi ya simu janja yamefanya nafasi hiyo kujaa kwa haraka. Leo, hata simu yenye GB 128 inaweza kumlazimu…
Asimulia alivyojifungua katikati ya tetemeko la ardhi
Dar es Salaam. Maria Florida, 39, ameeleza furaha yake baada ya kujifungua salama mtoto wake wa nne kwa njia ya upasuaji, huku tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 likitikisa eneo la Nusa Tenggara Mashariki mwa Indonesia. Florida alikuwa tayari…
Jose Chameleone alivyoibua shangwe akitumbuiza kilele tamasha la Kizimkazi
Unguja. Msaanii wa kimataifa kutoka Uganda, Jose Chameleone ameibua shangwe wakati akitumbuiza katika kilele cha tamasha la Kizimkazi. Katika tamasha hilo linalofanyika leo Agosti 14, 2026 viwanja vya Mwehe Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, msanii huyo…
Rais Samia ahimiza amani, utulivu Tamasha la Kizimkazi
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewahimiza Watanzania, hususan vijana, kulinda amani, usalama na utulivu, akisema maendeleo ya Taifa hayawezi kustawi katika mazingira ya vurugu. Amesema amani, usalama na utulivu ni nguzo muhimu zinazowezesha…
Hoja ya uhamiaji kutikisa mkutano wa wakuu wa SADC
Dar es Salaam. Suala la uhamiaji linatarajiwa kutawala mjadala katika mkutano wa 46 wa kawaida wa wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), unaofanyika leo, Agosti 17, 2026, jijini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo…
NBC kuchochea nguvu ya uchumi Zanzibar
Zanzibar. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesema itaendelea kuwa mshirika wa kimkakati katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa Zanzibar kwa kuwawezesha wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali kutumia fursa zinazotokana na uwekezaji, maendeleo ya…