Madeleka aeleza namna alivyokamatwa Mahakama Kuu
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kumwachia kwa dhamana, Wakili Peter Madeleka ameeleza namna alivyokamatwa katika viunga vya Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi eneo la Mikocheni.…
Makosa matatu yasababisha daladala 203 kufungiwa VTS
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imeanza kufunga vifaa vya kufuatilia mwenendo wa magari (VTS) katika daladala zinazofanya safari za mijini, hatua inayolenga kudhibiti ukiukwaji wa masharti ya leseni na kuboresha huduma kwa…
Wadau kujadili maendeleo ya kidijitali, data ikipewa kipaumbele
Zanzibar. Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa tamasha la data Africa 2026, tukio litakalowakutanisha zaidi ya washiriki 300, mashirika zaidi ya 100, kutoka nchi 30 litakalofanyika katika Hoteli ya Verde, Zanzibar. Tamasha hilo litakalofanyika siku tatu…
*MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WAANZA KUTEKELEZWA MKINGA*
📌*Mitungi ya gesi ya kilo sita 3,255 kuuzwa kwa bei ya ruzuku ya Shilingi 17,500* 📍*Mkinga, Tanga* Serikali imeanza kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia katika Wilaya ya Mkinga, Mkoa wa Tanga, kupitia mradi wa…
Wimbi la magonjwa ya upumuaji linavyoathiri watoto
Dar es Salaam. Madaktari wamesema kati ya asilimia 50 hadi 70 ya watoto wanaofikishwa hospitalini kwa ajili ya matibabu katika kipindi hiki husumbuliwa na magonjwa ya mfumo wa upumuaji, huku hali ya baridi na vumbi ikitajwa kuchangia kuongezeka kwa…
PATRICK VIEIRA ATEULIWA KUWA KOCHA MKUU WA SENEGAL
Senegal imemteua Patrick Vieira, mshindi wa Kombe la Dunia la 1998 akiwa na Ufaransa, kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa, Shirikisho la Soka la Senegal limetangaza Jumanne. Vieira anachukua nafasi ya Pape Thiaw, aliyefutwa kazi baada ya Kombe la Dunia…
Wazazi sita ‘wabanwa’ kwa watoto kutokwenda shule
Simanjiro.Wazazi na walezi sita katika Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kushindwa kuhakikisha watoto wao wanahudhuria masomo shuleni. Hatua hiyo imetangazwa na Mkurugenzi Mtendaji wa…
KANISA LA EBENEZER MBALIZI LAGEUKA FARAJA KWA WAZEE WASIOJIWEZA
Na Josea Sinkala, Mbeya. Kanisa la Ebenezer Assemblies of God Africa (EAGA) lenye makao yake makuu mjini Mbalizi wilayani Mbeya, limewagusa wahitaji ambao ni wazee wasiojoweza ndani na nje ya Kanisa hilo kwa kuwasaidia mahitaji ya vyakula. Mahitaji…
Sababu wanaume kuvutiwa na wanawake wenye maumbo makubwa
Dar es Salaam. Mjadala kuhusu aina ya mwili unaovutia zaidi umeibua mitazamo tofauti huku baadhi ya wanaume wa Kiafrika wakisema wanapendelea wanawake wenye maumbo makubwa, hasa wenye makalio na nyonga pana. Tafiti zinaeleza kuwa mvuto wa makalio unaweza…
Hatari iliyofichika kumrusha mtoto hewani wakati wa kumbembeleza
Dar es Salaam. Mtoto anapolia, kukosa utulivu au kutaka kucheza, wazazi na walezi hutumia njia mbalimbali kumtuliza au kumfurahisha. Baadhi humbeba na kumtikisa taratibu, huku wengine wakimrusha hewani wakiamini ni mchezo unaomfurahisha mtoto.…