16 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma moto shamba, matrekta ya mwekezaji
Babati. Wakazi 16 wa Kijiji cha Kiru, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuvamia eneo la mwekezaji wa Dudumera Estate na kuchoma moto shamba pamoja na matrekta matatu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed…
UBORA WA SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO ,WAPONGEZWA NA WAZAZI
NA MATUKIO DAIMA MEDIA IRINGA WAZAZI wa wanafunzi wanaosoma katika Shule za St. Dominic Savio mkoani Iringa wamepongeza uongozi wa shule hizo kwa kuandaa ziara za kielimu zinazowawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo na kuongeza uelewa nje ya mazingira…
FEASSA 2026 KUFANYIKA MOROGORO, WANAFUNZI 6,800 KUSHIRIKI MASHINDANO
Na Lilian Kasenene, Morogoro Matukio DaimaApp JUMLA ya wanafunzi takribani 6,800 kutoka nchi za Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda na wenyeji Tanzania wanatarajiwa kushiriki Mashindano ya Michezo ya Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari ya Jumuiya ya…
Vijana wa Mwanjelwa walivyogeuza kucha, rangi kuwa dili
Mbeya. Soko la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya ni miongoni mwa masoko yanayowakutanisha wafanyabiashara wa bidhaa na huduma mbalimbali, lakini ndani yake kuna kundi la vijana lililogeuza upakaji rangi na ubandikaji kucha kuwa chanzo cha kipato. Kwa…
MAGAZETINI LEO JUMATANO AGOSTI 12/2026:TANZANIA NA MAREKANI KUENDELEA KUSHIRIKIANA,RC KHERI APONGEZA UWEKEZAJI HOTELI YA GOLDEN GLOW ..
MAGAZETINI LEO JUMATANO AGOSTI 12/2026:TANZANIA NA MAREKANI KUENDELEA KUSHIRIKIANA,RC KHERI APONGEZA UWEKEZAJI HOTELI YA GOLDEN GLOW .. – Matukio Daima Habari Home › Afya › MAGAZETI › MAGAZETINI LEO JUMATANO AGOSTI 12/2026:TANZANIA NA MAREKANI…
GIZ YAAHIDI KUTOA EURO MILIONI 39.8 KWA AJILI YA KUIMARISHA BIASHARA YA KIKANDA.
Na,Jusline Marco;Arusha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jamhuri ya Shirikisho ya Ujerumani zimethibitisha upya nia yao ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda kufuatia kuhitimishwa kwa majadiliano ya Ushirikiano wa Maendeleo, huku Ujerumani ikiahidi…
RC KHERI JAMES COMMENDS GOLDEN GLOW HOTEL INVESTMENT
By Matukio Daima Media Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has commended the investment made in Golden Glow Hotel, located in Kihodombi, Isakalilo Ward, Iringa Municipality, saying the investment will help boost the tourism sector and the…
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR – Matukio Daima Habari Home › Uncategories › MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WANAFUNZI SHULE ZA ST DOMINIC SAVIO IRINGA ,ZANZIBAR Aug 12, 2026
MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 13/2026:HATUA 4 ZA KUPONYA TAIFA
MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 13/2026:HATUA 4 ZA KUPONYA TAIFA – Matukio Daima Habari Home › Afya › MAGAZETI › MAGAZETINI LEO ALHAMISI AGOSTI 13/2026:HATUA 4 ZA KUPONYA TAIFA Aug 12, 2026
DKT. DOTO BITEKO ANOGESHA MASHINDANO YA NGALAWA TAMASHA LA KIZIMKAZI
Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa matukio makubwa ya kiburudani yanayoipamba Kizimkazi Festival 2026. Mashindano hayo yamefanyika…