SEKTA YA MADINI YAVUTIA UWEKEZAJI WA TRILIONI 9 NDANI YA MIAKA MINNE*
▪️Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa ▪️Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro ▪️Tanzania yawa kivutio kikubwa cha uwekezaji sekta ya Madini Afrika ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira…
VETA YAANDAA MTAALA WA MAFUNZO YA MUDA MFUPI WA FANI YA RECYCLING
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika sekta ya taka na kuongeza thamani ya taka zinazoweza…
VETA IMETAKIWA KUENDELEA KUWASHIRIKISHA WATAALAMU WALIOBOBEA FANI MBALIMBALI
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetakiwa kuendelea kuwashirikisha wataalamu waliobobea katika fani mbalimbali zinazotolewa vyuoni, ili kuwezesha mafunzo kwa vitendo na kujenga umahiri kwa vijana. Rai hiyo imetolewa Agosti 15, 2026…
BAHI IMETENGA MILLION 100 KUTOKA MAPATO YAKE YA NDANI KUSAIDIA VIJANA WA WILAYA KUPATA ELIMU VETA
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imeonyesha mfano wa namna halmashauri zinavyoweza kutumia mapato ya ndani kuwekeza katika elimu ya Amali (ufundi na ufundi stadi) kuwaandalia vijana fursa za ajira kupitia Mfuko wa Elimu. Bahi inatenga shilingi milioni 100…
*WAKULIMA WA KITOMONDO WANUFAIKA NA HUDUMA YA MAWASILIANO*
Wakulima katika Kijiji cha Kitomondo wamenufaika na kuimarika kwa huduma za mawasiliano ambayo imeondoa changamoto kubwa ya ugawaji dawa, pembejeo na upatikanaji wa masoko kupitia mfumo wa kidijitali. Akizungumzia mafanikio hayo, Katibu wa Chama cha…
DCEA YATEKETEZA EKARI 603 ZA BANGI MVOMERO
Matukio Daima Media, Morogoro Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku…
Kinachosubiriwa Ijumaa kesi ya Lissu
Dar es Salaam. Hatima ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili imeingia katika hatua muhimu, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kupanga Ijumaa, Agosti 21, 2026, kutoa…
Mahakama kuamua Kesi ya Lissu Ijumaa
Dar es Salaam. Hatima ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili imeingia katika hatua muhimu, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kupanga Ijumaa, Agosti 21, 2026, kutoa…
Nishati mbadala yatajwa kuwa suluhu ya uharibifu wa mazingira
Tabora. Matumizi ya nishati mbadala yameendelea kutajwa kuwa suluhu ya kudumu ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira na changamoto za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo rafiki kwa mazingira, huku wadau wakihimizwa kuwekeza na kuhamasisha…