MBALI YA DKT NCHIMBI ,WANACHAMA HAWA PIA WALIWAHI KUFUKUZWA CCM

NA MATUKIO DAIMA MEDIA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), katika historia yake, kimewahi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya baadhi ya wanachama na viongozi wake, hatua zilizofikia hadi kuwavua au kuwafukuza uanachama kutokana na sababu mbalimbali za kisiasa na kinidhamu.

Miongoni mwa vigogo wanaotajwa katika historia hiyo ni Seif Sharif Hamad, mwanasiasa mkongwe wa Zanzibar ambaye alifukuzwa CCM mwaka 1988 kufuatia mgogoro wa kisiasa ndani ya chama Zanzibar.

Katika kipindi hicho pia Shaaban Mloo alikumbwa na hatua ya kufukuzwa CCM mwaka 1988, ikiwa ni sehemu ya misukosuko ya kisiasa iliyokuwa ikiendelea Zanzibar.

Mwanasiasa mwingine ni Mansour Yussuf Himid, aliyewahi kuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki. Mansour alivuliwa uanachama wa CCM baada ya kuingia katika mgogoro na chama.

Machi 2017, CCM ilifanya maamuzi mengine makubwa ya kinidhamu yaliyowakumba baadhi ya viongozi wake. Miongoni mwao alikuwa aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Sophia Simba, ambaye alivuliwa uanachama.

Hata hivyo, Novemba mwaka huo, Sophia alirejeshewa uanachama baada ya kuomba msamaha na chama kuridhia ombi lake.

Wengine waliofukuzwa CCM mwaka 2017 ni Ramadhani Madabida, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam; Jesca Msambatavangu, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa; Erasto Kwilasa, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga; pamoja na Christopher Sanya, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara.

Hatua hizo zilikuwa sehemu ya maamuzi ya chama yaliyolenga kusimamia nidhamu na uwajibikaji miongoni mwa viongozi na wanachama wake.

Mwanasiasa mwingine mkubwa aliyewahi kufukuzwa CCM ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.

Membe alifukuzwa uanachama Februari 28, 2020 baada ya mvutano wa muda mrefu wa kisiasa ndani ya chama. Baadaye alijiunga na ACT-Wazalendo na kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Katika mjadala wa hatua za kinidhamu ndani ya CCM, jina la Dkt. Emmanuel Nchimbi pia limewahi kujitokeza. Hata hivyo, katika maamuzi ya mwaka 2017, Nchimbi hakufukuzwa wala kuvuliwa uanachama; alipewa onyo kali na kutakiwa kuomba radhi.

Historia hiyo inaonyesha kuwa CCM imewahi kuchukua hatua dhidi ya viongozi wa ngazi mbalimbali, kuanzia viongozi wa mikoa, mawaziri wa zamani hadi vigogo waliokuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania.

Baadhi ya waliofukuzwa waliendelea na siasa kupitia vyama vingine, huku wengine wakirejeshewa uanachama baada ya kuomba msamaha na kukubaliwa kurejea ndani ya chama.

AFCON 2027,TANZANIA KUTANGAZA UTAMADUNI WAKE KUPITIA

  

Na Lilian Kasenene, Morogoro

Matukio DaimaApp

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amewataka Watanzania kutumia fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027 kutangaza tamaduni za makabila mbalimbali nchini.

Malima alisema hayo wakati akifungua Tamasha la Nne la Kitaifa la Utamaduni linalofanyika mjini Morogoro, ambapo jumla ya washiriki 150,000 kutoka mikoa mbalimbali wanaonyesha na kutangaza tamaduni zao.

Alisema katika mashindano ya AFCON, miongoni mwa maeneo yanayotakiwa kutangazwa ni vivutio adimu vya utalii, sambamba na kufanya vizuri katika mashindano hayo.

Malima alisema mashindano hayo yatahusisha Tanzania, Kenya na Uganda, huku Tanzania ikiwa mwenyeji wa baadhi ya michezo itakayofanyika Arusha, Dar es Salaam na Zanzibar.

Aidha, amewataka Watanzania kuendelea kuheshimu na kuthamini utamaduni wao, akisisitiza kuwa utamaduni ni sehemu muhimu ya heshima na utambulisho wa taifa.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, alisema Tamasha la Kitaifa la Utamaduni lilianza mkoani Dar es Salaam, kisha kufanyika Songwe na Ruvuma, kabla ya mwaka huu kufanyika Morogoro.

Akizungumzia maandalizi ya AFCON 2027, Msigwa aliwataka Watanzania kupuuza taarifa zisizo za kweli zinazoenezwa na baadhi ya watu kuhusu Tanzania kuondolewa kwenye uenyeji wa mashindano hayo.

Alisema taarifa hizo si za kweli na kwamba maandalizi ya mashindano hayo yanaendelea kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda.

Baada ya ufunguzi wa tamasha hilo, kulifanyika Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Maadili uliolenga kuhamasisha na kuchochea maadili mema kwa Watanzania.

Mdahalo huo ulifanyika katika eneo la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), ambapo watoa mada walisisitiza umuhimu wa Watanzania kuwa kioo bora cha jamii kwa kuonyesha mfano mwema.

Wamesema maadili ni msingi wa utu, umoja na mshikamano wa kitaifa, hivyo Watanzania wanapaswa kuwa mfano bora kwa watoto na jamii kwa ujumla, kuipenda Tanzania kwa vitendo, kuheshimu utu na kujenga taifa lenye amani na mshikamano.

Maadili mema yameelezwa kuwa ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Watanzania.

Mwisho.

VIGOGO WATANO WA CCM WALIIOONDOKA KATIKA NYADHIFA ZAO CHINI YA RAIS SAMIA

 

Wanasiasa hustaafu, kujiuzulu au kuondoka madarakani kutokana na sababu mbalimbali za kibinafsi, kisiasa na kisheria. Baadhi hujiuzulu au kuachia ngazi ili kulinda umoja wa chama, kupisha damu mpya, au kupisha safu mpya ya uongozi inapotakiwa na Mkuu wa Nchi au chama.

Wengine huchagua kustaafu kwa hiari kutokana na umri mkubwa au changamoto za kiafya zinazowazuia kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Migogoro ya maadili, tuhuma za rushwa, au matamshi yanayozua mjadala mkubwa na kukosa uungwaji mkono wa kijamii au kiserikali husababisha wanasiasa wengine kulazimika kuondoka katika nafasi zao.

Jambo jengine linalowaondoa wanasiasa katika nafasi zao ni kuamua kurejea kwenye maisha ya uraia, kilimo, au taaluma zao baada ya kutimiza malengo yao ya utumishi wa umma.

Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.

EMMANUEL JOHN NCHIMBI

Dkt. Emmanuel John Nchimbi ni mwanasiasa mzoefu nchini Tanzania aliyepitia ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikalini. Alianza kupata umaarufu mkubwa alipokuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) na baadaye kuhudumu kama Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini kwa vipindi kadhaa.

Alihudumu katika baraza la mawaziri chini ya Serikali ya Awamu ya Nne (Rais Jakaya Kikwete), akishika nyadhifa za Uwaziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mambo ya Ndani ya Nchi, na Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Baada ya kutumikia nafasi za kibalozi nchini Brazil na Misri, alirejea nchini na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM mapema mwaka 2024.

Agosti 2025, aliteuliwa na kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan. Tarehe 25 Agosti 2026, Dkt. Nchimbi alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais pamoja na kustaafu siasa na utumishi wa umma, uamuzi unaoanza kutumika rasmi tarehe 4 Septemba 2026.

Katika taarifa yake, alieleza kuwa alichukua hatua hiyo kutimiza ahadi aliyompa Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiingia madarakani. kwamba angepisha bila kusita pale Rais atakapoona inafaa kuwa na mabadiliko katika safu yake ya uongozi. Alibainisha kujiridhisha kuwa Rais anahitaji mabadiliko hayo. Baada ya matukio hayo CCM imetangaza kumvua uwanachama.

PHILIP MPANGO.

Dkt. Philip Isdor Mpango ni mchumi na mwanasiasa nchini Tanzania. Kabla ya kuingia kwenye siasa, alihudumu katika nafasi mbalimbali za kiserikali na kimataifa, ikiwemo Benki ya Dunia, Tume ya Mipango, na Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA.

Mwaka 2015, aliteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mbunge na baadaye Waziri wa Fedha na Mipango, nafasi aliyoitumikia kwa mafanikio hadi Machi 2021. Mnamo Machi 31, 2021, alichaguliwa na kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Mapema mwaka 2025, Dkt. Mpango alitangaza nia yake ya kustaafu utumishi wa umma na siasa mara baada ya kukamilisha muhula wake. Alieleza kuwa uamuzi huo ulilenga kutoa fursa kwa vijana kuongozana na Rais Samia, huku yeye akipanga kurejea kwenye shughuli za kilimo. Alihitimisha rasmi utumishi wake kama Makamu wa Rais mnamo Novemba 2025.

JOB NDUGAI

Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa mzoefu nchini Tanzania aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa mkoani Dodoma tangu mwaka 2000 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Safari yake ya uongozi wa Bunge ilianza rasmi mwaka 2010 alipochaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Anne Makinda.

Mnamo Novemba 2015, alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kudumu katika nafasi hiyo kwa miaka sita, ambapo alirejeshwa tena madarakani kufuatia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Mnamo Januari 6, 2022, Ndugai alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi ya Uspika. Uamuzi huo ulijiri siku chache baada ya kutokea kwa mkanganyiko na maneno ya ukosoaji aliyoyatoa hadharani kuhusu mikopo ya Serikali, jambo lililozua mjadala mkubwa wa kisiasa na kumfanya amwombe msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kabla ya kuamua kuachia ngazi kwa hiari yake.

TULIA ACKSON

Dkt. Tulia Ackson ni mwanasheria na mwanasiasa nchini Tanzania. Alianza safari yake ya kisheria kama mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali mwaka 2015. Baadaye mwaka huo huo, aliteuliwa kuwa Mbunge na kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi aliyoitumikia hadi mwaka 2022.

Mnamo Januari 2022, alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge kufuatia kujiuzulu kwa Job Ndugai. Katika kipindi chake cha uongozi, alipata pia heshima ya kimataifa kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Muungano wa Mabunge Duniani (IPU) mwaka 2023.

Mnamo Novemba 7, 2025, Dkt. Tulia alishangaza wengi kwa kutangaza kujiondoa katika kinyang’anyiro cha kutetea kiti cha Uspika kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Alieleza kuwa uamuzi huo ulitokana na tafakari ya kina na lengo la kulinda umoja, mshikamano na amani ndani ya chama chake wakati kikitayarisha safu mpya ya uongozi.

KASSIM MAJALIWA.

Kassim Majaliwa Majaliwa ni mwanasiasa na mwalimu nchini Tanzania. Alianza safari yake ya uongozi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akihudumu kama Mkuu wa Wilaya ya Rufiji na Kilwa kabla ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Ruangwa mwaka 2010. Baadaye aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI).

Mnamo Novemba 2015, Rais John Magufuli alimteua kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuendelea kushikilia nafasi hiyo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kurejeshwa tena madarakani mwaka 2020. Alikuwa mmoja wa Mawaziri Wakuu waliohudumu kwa muda mrefu zaidi nchini.

Baada ya kuwatumikia wananchi wa Ruangwa na taifa kwa zaidi ya miaka kumi na tano katika ngazi za juu, Majaliwa alitangaza rasmi kustaafu siasa na kutogombea tena Ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akilenga kupumzika na kupisha damu mpya katika uongozi wa umma.

Exclusive: Saleh Ally Afichua Siri ya Safari Yake Katika Uandishi wa Habari za Michezo – Video

Global Publishers
August 27, 2026
24 views
0 Comments

Mwandishi mahiri wa habari za michezo nchini Tanzania, Saleh Ally (@salehjembefacts), amefanya mahojiano maalum (exclusive interview) na Global TV, ambapo amefunguka kwa kina kuhusu safari yake ya uandishi wa habari za michezo na mambo mbalimbali ambayo wengi hawakuyajua kuhusu maisha yake ya kikazi.

Katika mahojiano hayo, Saleh Ally amezungumzia kwa undani safari yake katika taaluma ya uandishi wa habari, changamoto alizokutana nazo pamoja na matukio yaliyokuwa na mchango mkubwa katika kujenga jina lake kwenye tasnia ya habari za michezo nchini.

Miongoni mwa mambo aliyoyafichua ni kuhusu mahojiano yake makubwa ya kwanza aliyowahi kufanya na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea F.C. na Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba.

Saleh Ally amesema mahojiano hayo na Drogba yalikuwa miongoni mwa matukio muhimu yaliyomfungulia milango katika safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi mahiri wa habari za michezo.

Kwa mujibu wa Saleh Ally, fursa hiyo haikuwa tu mahojiano ya kawaida na nyota mkubwa wa soka, bali ilikuwa hatua muhimu iliyompa msukumo, kujiamini na kumfungulia njia ya mafanikio katika taaluma aliyokuwa akiipenda.

Katika mahojiano hayo na Global TV, Saleh Ally pia amegusia mambo mengine mengi kuhusu maisha yake, safari yake ya kikazi, namna alivyokutana na changamoto mbalimbali na matukio yaliyomsaidia kufika alipo leo.

NDEJEMBI KUMRITHI NCHIMBI, NI MWANASIASA WA AINA GANI?

 

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempendekeza Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu mpya wa Rais wa Tanzania, baada ya aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujiuzulu.

Uamuzi huo umefikiwa na Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.

Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.

Na akithibitishwa pia Ndejembi atakuwa Makamu wa rais wa 13 tangu Tanzania ipate uhuru, akiwa miongoni mwa Makamu wa raisi vijana zaidi kuwahi kushika nafasi hiyo.

Lakini Ndejembi ni mwanasiasa wa aina gani, na amekujaje hadi kufikia nafasi hii?

AMEPIKWA SEKTA BINAFSI, AMEIVA SERIKALINI.

Ndejembi, ambaye amekuwa Waziri wa Nishati tangu mwaka 2025, anaingia katika kinyang’anyiro hicho akiwa na uzoefu wa zaidi ya muongo mmoja katika siasa na utumishi wa umma, lakini safari yake haikuanza serikalini.

Kabla ya kuingia kwenye uongozi wa serikali, Ndejembi alifanya kazi katika sekta binafsi. Mwaka 2012 alikuwa meneja wa kampuni ya A1 Outdoor, kabla ya kuwa Mkuu wa Mauzo katika kampuni ya Smile Communication kati ya mwaka 2012 na 2014.

Mwaka 2014 alijiunga na Tigo kama Meneja wa Kanda, nafasi aliyoshikilia hadi mwaka 2015, na mwaka 2016 alikuwa Mkuu wa Masoko wa GSM Group.

Wakati huo huo, alikuwa akijenga nafasi yake ndani ya CCM. Rekodi ya Bunge inaonyesha alianza kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama hicho tangu akiwa kijana, ikiwemo kuwa mwanachama wa Baraza la Taifa la Umoja wa Vijana wa CCM kuanzia mwaka 2008 hadi 2017.

Alikuwa pia mwanachama wa Baraza Kuu la CCM na baadaye Kamati ya Siasa ya chama hicho katika ngazi mbalimbali.

Mwaka 2016, Ndejembi aliingia katika utumishi wa serikali baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Dodoma, nafasi aliyoshikilia hadi mwaka 2020.

Hii ilikuwa hatua muhimu katika safari yake ya kisiasa, ikimpa uzoefu wa uongozi wa serikali za mitaa kabla ya kuingia Bungeni.

Mwaka 2020 alichaguliwa kuwa Mbunge wa Chamwino, Dodoma, na baadaye akaingia katika serikali kuu kama Naibu Waziri.

Kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 alikuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kabla ya kuhamia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Mwaka 2023 hadi 2024 alikuwa Naibu Waziri katika Ofisi hiyo, akisimamia masuala yanayohusu tawala za mikoa na serikali za mitaa.

Mwaka 2024 alipandishwa kuwa Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Baadaye mwaka huo alihamishiwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, ambako alihudumu kama Waziri hadi mwaka 2025.

Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Rais Samia alimteua kuwa Waziri wa Nishati, akipewa jukumu la kusimamia sekta yenye umuhimu mkubwa katika uchumi wa Tanzania.

Katika nafasi hiyo, Ndejembi amekuwa akisimamia masuala ya uzalishaji na usambazaji wa umeme pamoja na sekta za mafuta na gesi.

Ameshiriki pia katika mazungumzo ya ushirikiano wa nishati na nchi nyingine, ikiwemo Zambia, katika masuala ya mafuta na gesi.

Kwa upande wa miradi mikubwa ya nishati, amekuwa akieleza mipango ya serikali ya kuongeza upatikanaji wa umeme na kuimarisha miundombinu ya nishati nchini.

Hivyo, tofauti na mwanasiasa ambaye safari yake imejikita zaidi katika siasa za chama, Ndejembi ana historia inayochanganya sekta binafsi, uongozi wa serikali za mitaa, Bunge na uwaziri.

Rekodi yake inaonyesha pia kuwa amekuwa akipanda hatua kwa hatua ndani ya mfumo wa serikali. Kutoka Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, akawa mbunge, Naibu Waziri na baadaye Waziri wa wizara kadhaa.

MWANASIASA-MTENDAJI

Kama Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi (kushoto) akiwa kwneye ziara katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

Katika elimu, Ndejembi alianza shule ya msingi katika Shule ya Msingi Cannon Andrea Mwaka, alikosoma kati ya mwaka 1988 na 1995. Aliendelea na Shule ya Sekondari Kigurunyembe kuanzia mwaka 1996 hadi 1998, kabla ya kwenda Merton College kati ya mwaka 2002 na 2004.

Kati ya mwaka 2006 na 2009, alisoma Shahada ya Uhusiano wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Lincoln nchini Uingereza. Baadaye, kati ya mwaka 2009 na 2012, alisoma Stashahada ya Juu katika Taasisi ya Usimamizi wa Utawala.

Historia hiyo ya elimu ya uhusiano wa kimataifa, pamoja na uzoefu wake katika sekta binafsi na serikali, inaweza kuwa muhimu katika nafasi ya Makamu wa Rais, ambayo inahusisha pia masuala ya Muungano na majukumu mapana ya kitaifa.

Hata hivyo, Ndejembi hajaijenga historia yake kwa kuwa mmoja wa sura zinazojulikana zaidi katika siasa za kitaifa za CCM. Umaarufu wake umeongezeka zaidi kupitia nafasi alizoshika serikalini, hasa katika miaka ya hivi karibuni.

Kwa maana hiyo, anaweza kuelezewa zaidi kama mwanasiasa-mtendaji, ambaye amejenga uzoefu wake kupitia utekelezaji wa majukumu ya serikali na uongozi wa taasisi, huku akiwa na mizizi ndani ya CCM.

Sasa, endapo uteuzi wake utakamilika kwa mujibu wa Katiba, Ndejembi atatoka katika uongozi wa wizara moja na kuingia katika nafasi yenye majukumu mapana zaidi ya kitaifa.

Hii itakuwa hatua kubwa zaidi katika safari yake ya kisiasa, miaka 10 tu baada ya kuanza kazi kama Mkuu wa Wilaya ya Kongwa.

Ametyoka sekta binafsi, uongozi wa wilaya, Bunge, unaibu waziri na uwaziri, Ndejembi sasa amependekezwa kushika nafasi ya nafasi ya pili kwa ukubwa katika uongozi wa Tanzania.

Swali kubwa litakuwa namna mwanasiasa huyu, aliyejenga uzoefu wake zaidi kupitia utendaji wa serikali, atakavyobadilika kutoka kusimamia wizara moja hadi kushughulikia masuala mapana ya taifa na Muungano.

Mambo 12 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati.

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati.

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa zinazopatikana katika wasifu wa Bunge, Ndejembi alisoma:
1988–1995: Cannon Andrea Mwaka Primary School.
1996–1998: Jamhuri Secondary School/Kigurunyembe Secondary School.
2002–2004: Merton College, ambako alipata elimu ya Advanced Secondary.
2006–2009: University of Lincoln, Uingereza, akisoma International Relations na kupata Shahada ya kwanza.
2009–2012: Institute of Administrative Management, ambako alipata Advanced Diploma.
Pia wasifu wa Bunge unaonyesha kuwa aliwahi kuwa kwenye masomo ya uzamili katika University of Cumbria kuanzia 2019.

Taarifa zinazoeleza tarehe yake ya kuzaliwa zinamtaja kuwa alizaliwa 12 Julai 1983. Hata hivyo, tarehe hiyo haionekani katika sehemu ya taarifa za jumla kwenye wasifu wa sasa wa Bunge, hivyo ni vizuri kuitaja kama taarifa iliyoripotiwa, si kama jambo lililothibitishwa moja kwa moja na wasifu huo

Safari yake ya kisiasa na kiuongozi imejengwa katika uzoefu wa muda mrefu ndani ya Serikali na Chama Cha Mapinduzi, huku akiwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Serikali kabla ya kupewa dhamana ya kusimamia sekta ya nishati.

1. Ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa CCM
Deogratius Ndejembi ni mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wakongwe na wenye ushawishi ndani ya CCM mkoani Dodoma.

Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma kwa miaka 25, kuanzia mwaka 1982 hadi 2007, kipindi kirefu ambacho kilimfanya kuwa sehemu muhimu ya historia ya siasa za CCM katika mkoa huo.

2. Baba yake alikuwa na ushawishi mkubwa ndani ya CCM kitaifa
Mbali na uongozi wake mkoani Dodoma, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alikuwa na nafasi muhimu katika uongozi wa CCM Tanzania Bara.
Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa yote ya Tanzania Bara, nafasi iliyompa ushawishi na jukumu la kushirikiana na viongozi wa chama kutoka mikoa mbalimbali.

Hivyo, Deogratius Ndejembi amekulia katika familia yenye historia ndefu ya utumishi wa umma na uongozi ndani ya CCM.

3. Safari yake ndani ya CCM
Ndejembi alianza kujihusisha na shughuli za CCM akiwa kijana. Wasifu wa Bunge unaonyesha kuwa:

2007–2017: alikuwa katika uongozi wa CCM ngazi ya Wilaya.
2008–2017: alikuwa Mjumbe wa Baraza la Taifa la UVCCM.
2012–2017: alikuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM.
2012–2022: alikuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la CCM.
2016–2020: alikuwa katika Kamati ya Siasa.
2017–2022: alikuwa Mjumbe wa Baraza Kuu – Wazazi.

Kwa hiyo, safari yake ya kisiasa haikuanza akiwa Waziri; alikulia ndani ya miundo ya CCM kwa miaka kadhaa kabla ya kufika kwenye nafasi za juu za Serikali.

4. Historia yake ya uongozi ndani ya Serikali
Kabla ya kuwa Waziri wa Nishati, Ndejembi amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo Ukuu wa Wilaya ya Kongwa kati 2016 hadi 2020, jambo lililomjengea uzoefu katika kusimamia masuala tofauti ya kitaifa.

Amewahi kuwa Naibu Waziri na baadaye Waziri katika maeneo mbalimbali ya Serikali.

5. Aliwahi kuwa Naibu Waziri TAMISEMI
Katika hatua za awali za safari yake ya uongozi wa Serikali, Ndejembi aliwahi kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kati yam waka 2023 hadi 2024.

Nafasi hiyo ilimpa uzoefu wa moja kwa moja katika masuala ya Serikali za Mitaa na utekelezaji wa huduma za umma.

6. Aliwahi kusimamia masuala ya kazi, vijana na ajira
Mwaka 2024, Ndejembi alipewa dhamana ya kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Katika nafasi hiyo, alihusika na eneo muhimu linalogusa moja kwa moja mustakabali wa vijana na nguvu kazi ya taifa.

7. Aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi
Kabla ya kuhamia Wizara ya Nishati, Ndejembi pia aliwahi kuongoza **Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Akiwa Waziri wa Ardhi mwaka 2025, alisimamia sekta yenye changamoto kubwa zinazohusisha umiliki wa ardhi, migogoro ya ardhi, makazi na maendeleo ya miji.

8. Ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino
Mbali na majukumu yake ya uwaziri, Ndejembi ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino tangu 2020, mkoani Dodoma.
Ubunge wake unampa nafasi ya kuwakilisha wananchi wa Chamwino katika Bunge na kushiriki katika mijadala kuhusu sera, sheria na maendeleo ya taifa.

9. Sasa anaongoza Wizara ya Nishati
Ndejembi kwa sasa anaongoza Wizara ya Nishati, sekta ambayo ni mhimili muhimu wa uchumi wa Tanzania nafasi ambayo aliteuliwa na Rais Samia mwaka huu 2026.

Nishati ina nafasi kubwa katika uzalishaji viwandani, biashara, kilimo, huduma za kijamii na maendeleo ya wananchi kwa ujumla.

10. Safari yake ya uongozi imepitia sekta tofauti
Kinachomtofautisha Ndejembi katika safari yake ya kisiasa ni uzoefu alioupata katika maeneo mbalimbali.

Kutoka TAMISEMI, Kazi, Vijana na Ajira, Ardhi hadi Nishati, amekuwa akipewa dhamana ya kusimamia sekta zenye umuhimu mkubwa kwa wananchi na maendeleo ya nchi.

11. Anaendelea kujenga historia yake mwenyewe ya kisiasa

Ingawa ametoka katika familia yenye historia kubwa ya uongozi ndani ya CCM, Ndejembi ameendelea kujenga safari yake mwenyewe katika siasa na utumishi wa umma.

12: Maisha yake ya kazi kabla ya siasa

Kabla hajawa mwanasiasa mkubwa, Ndejembi alifanya kazi katika sekta binafsi katika nafasi mbalimbali:
2012: Manager – A1 Outdoor
2012–2014: Head of Sales – Smile Communication
2014–2015: Zonal Manager – Tigo
2016: Head of Marketing – GSM Group
2016–2020: Mkuu wa Wilaya (District Commissioner) katika Ofisi ya Rais.

Hii inaonesha kwamba kabla ya kuingia Bungeni alikuwa tayari na uzoefu katika biashara, mauzo, masoko, mawasiliano na utawala wa Serikali.

HITIMISHO
Historia ya uongozi wa baba yake, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ni sehemu muhimu ya kuelewa mazingira ya kisiasa aliyokulia. Hata hivyo, nyadhifa ambazo Deogratius Ndejembi ameshika zimejenga wasifu wake binafsi ndani ya Serikali na siasa za Tanzania.
Deogratius John Ndejembi ana historia inayounganisha siasa za CCM, utumishi wa umma na uongozi wa kitaifa. Akiwa mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, mwanasiasa mkongwe aliyelitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa muda mrefu mkoani Dodoma, amekulia katika mazingira yenye historia ya uongozi wa kisiasa.

Leo, Ndejembi anahudumu kama Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chamwino, akiendelea na safari yake ya uongozi katika sekta muhimu kwa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Safari kutoka Dodoma, kupitia nyadhifa mbalimbali za Serikali hadi kupewa dhamana ya kuongoza sekta ya nishati, inamfanya Deogratius Ndejembi kuwa mmoja wa wanasiasa ambao historia yao inafuatiliwa kwa karibu katika siasa za Tanzania.

Safari yake ya kisiasa na kiuongozi imejengwa katika uzoefu wa muda mrefu ndani ya Serikali na Chama Cha Mapinduzi, huku akiwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Serikali kabla ya kupewa dhamana ya kusimamia sekta ya nishati.

 

1. Ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa CCM
Deogratius Ndejembi ni mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wakongwe na wenye ushawishi ndani ya CCM mkoani Dodoma.

Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma kwa miaka 25, kuanzia mwaka 1982 hadi 2007, kipindi kirefu ambacho kilimfanya kuwa sehemu muhimu ya historia ya siasa za CCM katika mkoa huo.

2. Baba yake alikuwa na ushawishi mkubwa ndani ya CCM kitaifa
Mbali na uongozi wake mkoani Dodoma, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alikuwa na nafasi muhimu katika uongozi wa CCM Tanzania Bara.

Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa yote ya Tanzania Bara, nafasi iliyompa ushawishi na jukumu la kushirikiana na viongozi wa chama kutoka mikoa mbalimbali.

Hivyo, Deogratius Ndejembi amekulia katika familia yenye historia ndefu ya utumishi wa umma na uongozi ndani ya CCM.

 

3. Ana historia ya uongozi ndani ya Serikali
Kabla ya kuwa Waziri wa Nishati, Ndejembi amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, jambo lililomjengea uzoefu katika kusimamia masuala tofauti ya kitaifa.

Amewahi kuwa Naibu Waziri na baadaye Waziri katika maeneo mbalimbali ya Serikali.

4. Aliwahi kuwa Naibu Waziri TAMISEMI
Katika hatua za awali za safari yake ya uongozi wa Serikali, Ndejembi aliwahi kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Nafasi hiyo ilimpa uzoefu wa moja kwa moja katika masuala ya Serikali za Mitaa na utekelezaji wa huduma za umma.

5. Aliwahi kusimamia masuala ya kazi, vijana na ajira
Mwaka 2024, Ndejembi alipewa dhamana ya kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Katika nafasi hiyo, alihusika na eneo muhimu linalogusa moja kwa moja mustakabali wa vijana na nguvu kazi ya taifa.

6. Aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi
Kabla ya kuhamia Wizara ya Nishati, Ndejembi pia aliwahi kuongoza **Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Akiwa Waziri wa Ardhi, alisimamia sekta yenye changamoto kubwa zinazohusisha umiliki wa ardhi, migogoro ya ardhi, makazi na maendeleo ya miji.

7. Ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino
Mbali na majukumu yake ya uwaziri, Ndejembi ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino, mkoani Dodoma.

Ubunge wake unampa nafasi ya kuwakilisha wananchi wa Chamwino katika Bunge na kushiriki katika mijadala kuhusu sera, sheria na maendeleo ya taifa.

8. Sasa anaongoza Wizara ya Nishati
Ndejembi kwa sasa anaongoza Wizara ya Nishati, sekta ambayo ni mhimili muhimu wa uchumi wa Tanzania.

Nishati ina nafasi kubwa katika uzalishaji viwandani, biashara, kilimo, huduma za kijamii na maendeleo ya wananchi kwa ujumla.

9. Safari yake ya uongozi imepitia sekta tofauti
Kinachomtofautisha Ndejembi katika safari yake ya kisiasa ni uzoefu alioupata katika maeneo mbalimbali.

Kutoka TAMISEMI, Kazi, Vijana na Ajira, Ardhi hadi Nishati, amekuwa akipewa dhamana ya kusimamia sekta zenye umuhimu mkubwa kwa wananchi na maendeleo ya nchi.

10. Anaendelea kujenga historia yake mwenyewe ya kisiasa

Ingawa ametoka katika familia yenye historia kubwa ya uongozi ndani ya CCM, Ndejembi ameendelea kujenga safari yake mwenyewe katika siasa na utumishi wa umma.

Historia ya uongozi wa baba yake, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ni sehemu muhimu ya kuelewa mazingira ya kisiasa aliyokulia. Hata hivyo, nyadhifa ambazo Deogratius Ndejembi ameshika zimejenga wasifu wake binafsi ndani ya Serikali na siasa za Tanzania.

Hitimisho

Deogratius John Ndejembi ana historia inayounganisha siasa za CCM, utumishi wa umma na uongozi wa kitaifa. Akiwa mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, mwanasiasa mkongwe aliyelitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa muda mrefu mkoani Dodoma, amekulia katika mazingira yenye historia ya uongozi wa kisiasa.

Leo, Ndejembi anahudumu kama Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chamwino, akiendelea na safari yake ya uongozi katika sekta muhimu kwa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Safari kutoka Dodoma, kupitia nyadhifa mbalimbali za Serikali hadi kupewa dhamana ya kuongoza sekta ya nishati, inamfanya Deogratius Ndejembi kuwa mmoja wa wanasiasa ambao historia yao inafuatiliwa kwa karibu katika siasa za Tanzania.

Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati.

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.

Safari yake ya kisiasa na kiuongozi imejengwa katika uzoefu wa muda mrefu ndani ya Serikali na Chama Cha Mapinduzi, huku akiwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Serikali kabla ya kupewa dhamana ya kusimamia sekta ya nishati.

1. Ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa CCM
Deogratius Ndejembi ni mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wakongwe na wenye ushawishi ndani ya CCM mkoani Dodoma.

Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma kwa miaka 25, kuanzia mwaka 1982 hadi 2007, kipindi kirefu ambacho kilimfanya kuwa sehemu muhimu ya historia ya siasa za CCM katika mkoa huo.

2. Baba yake alikuwa na ushawishi mkubwa ndani ya CCM kitaifa
Mbali na uongozi wake mkoani Dodoma, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alikuwa na nafasi muhimu katika uongozi wa CCM Tanzania Bara.

Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa yote ya Tanzania Bara, nafasi iliyompa ushawishi na jukumu la kushirikiana na viongozi wa chama kutoka mikoa mbalimbali.

Hivyo, Deogratius Ndejembi amekulia katika familia yenye historia ndefu ya utumishi wa umma na uongozi ndani ya CCM.

3. Ana historia ya uongozi ndani ya Serikali
Kabla ya kuwa Waziri wa Nishati, Ndejembi amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, jambo lililomjengea uzoefu katika kusimamia masuala tofauti ya kitaifa.

Amewahi kuwa Naibu Waziri na baadaye Waziri katika maeneo mbalimbali ya Serikali.

4. Aliwahi kuwa Naibu Waziri TAMISEMI
Katika hatua za awali za safari yake ya uongozi wa Serikali, Ndejembi aliwahi kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Nafasi hiyo ilimpa uzoefu wa moja kwa moja katika masuala ya Serikali za Mitaa na utekelezaji wa huduma za umma.

5. Aliwahi kusimamia masuala ya kazi, vijana na ajira
Mwaka 2024, Ndejembi alipewa dhamana ya kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Katika nafasi hiyo, alihusika na eneo muhimu linalogusa moja kwa moja mustakabali wa vijana na nguvu kazi ya taifa.

6. Aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi
Kabla ya kuhamia Wizara ya Nishati, Ndejembi pia aliwahi kuongoza **Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Akiwa Waziri wa Ardhi, alisimamia sekta yenye changamoto kubwa zinazohusisha umiliki wa ardhi, migogoro ya ardhi, makazi na maendeleo ya miji.

7. Ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino
Mbali na majukumu yake ya uwaziri, Ndejembi ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino, mkoani Dodoma.

Ubunge wake unampa nafasi ya kuwakilisha wananchi wa Chamwino katika Bunge na kushiriki katika mijadala kuhusu sera, sheria na maendeleo ya taifa.

8. Sasa anaongoza Wizara ya Nishati
Ndejembi kwa sasa anaongoza Wizara ya Nishati, sekta ambayo ni mhimili muhimu wa uchumi wa Tanzania.

Nishati ina nafasi kubwa katika uzalishaji viwandani, biashara, kilimo, huduma za kijamii na maendeleo ya wananchi kwa ujumla.

9. Safari yake ya uongozi imepitia sekta tofauti
Kinachomtofautisha Ndejembi katika safari yake ya kisiasa ni uzoefu alioupata katika maeneo mbalimbali.

Kutoka TAMISEMI, Kazi, Vijana na Ajira, Ardhi hadi Nishati, amekuwa akipewa dhamana ya kusimamia sekta zenye umuhimu mkubwa kwa wananchi na maendeleo ya nchi.

10. Anaendelea kujenga historia yake mwenyewe ya kisiasa

Ingawa ametoka katika familia yenye historia kubwa ya uongozi ndani ya CCM, Ndejembi ameendelea kujenga safari yake mwenyewe katika siasa na utumishi wa umma.

Historia ya uongozi wa baba yake, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ni sehemu muhimu ya kuelewa mazingira ya kisiasa aliyokulia. Hata hivyo, nyadhifa ambazo Deogratius Ndejembi ameshika zimejenga wasifu wake binafsi ndani ya Serikali na siasa za Tanzania.

Hitimisho

Deogratius John Ndejembi ana historia inayounganisha siasa za CCM, utumishi wa umma na uongozi wa kitaifa. Akiwa mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, mwanasiasa mkongwe aliyelitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa muda mrefu mkoani Dodoma, amekulia katika mazingira yenye historia ya uongozi wa kisiasa.

Leo, Ndejembi anahudumu kama Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chamwino, akiendelea na safari yake ya uongozi katika sekta muhimu kwa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Safari kutoka Dodoma, kupitia nyadhifa mbalimbali za Serikali hadi kupewa dhamana ya kuongoza sekta ya nishati, inamfanya Deogratius Ndejembi kuwa mmoja wa wanasiasa ambao historia yao inafuatiliwa kwa karibu katika siasa za Tanzania.

Mambo 10 Usiyoyajua Kuhusu Ndejembi Hadi Kupewa Kugombea Umakamu wa Rais

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati.

Deogratius John Ndejembi ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Nishati wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.

Safari yake ya kisiasa na kiuongozi imejengwa katika uzoefu wa muda mrefu ndani ya Serikali na Chama Cha Mapinduzi, huku akiwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Serikali kabla ya kupewa dhamana ya kusimamia sekta ya nishati.

1. Ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa CCM
Deogratius Ndejembi ni mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wakongwe na wenye ushawishi ndani ya CCM mkoani Dodoma.

Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alihudumu kama Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma kwa miaka 25, kuanzia mwaka 1982 hadi 2007, kipindi kirefu ambacho kilimfanya kuwa sehemu muhimu ya historia ya siasa za CCM katika mkoa huo.

2. Baba yake alikuwa na ushawishi mkubwa ndani ya CCM kitaifa
Mbali na uongozi wake mkoani Dodoma, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi alikuwa na nafasi muhimu katika uongozi wa CCM Tanzania Bara.

Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa yote ya Tanzania Bara, nafasi iliyompa ushawishi na jukumu la kushirikiana na viongozi wa chama kutoka mikoa mbalimbali.

Hivyo, Deogratius Ndejembi amekulia katika familia yenye historia ndefu ya utumishi wa umma na uongozi ndani ya CCM.

3. Ana historia ya uongozi ndani ya Serikali
Kabla ya kuwa Waziri wa Nishati, Ndejembi amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, jambo lililomjengea uzoefu katika kusimamia masuala tofauti ya kitaifa.

Amewahi kuwa Naibu Waziri na baadaye Waziri katika maeneo mbalimbali ya Serikali.

4. Aliwahi kuwa Naibu Waziri TAMISEMI
Katika hatua za awali za safari yake ya uongozi wa Serikali, Ndejembi aliwahi kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Nafasi hiyo ilimpa uzoefu wa moja kwa moja katika masuala ya Serikali za Mitaa na utekelezaji wa huduma za umma.

5. Aliwahi kusimamia masuala ya kazi, vijana na ajira
Mwaka 2024, Ndejembi alipewa dhamana ya kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Katika nafasi hiyo, alihusika na eneo muhimu linalogusa moja kwa moja mustakabali wa vijana na nguvu kazi ya taifa.

6. Aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi
Kabla ya kuhamia Wizara ya Nishati, Ndejembi pia aliwahi kuongoza **Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Akiwa Waziri wa Ardhi, alisimamia sekta yenye changamoto kubwa zinazohusisha umiliki wa ardhi, migogoro ya ardhi, makazi na maendeleo ya miji.

7. Ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino
Mbali na majukumu yake ya uwaziri, Ndejembi ni Mbunge wa Jimbo la Chamwino, mkoani Dodoma.

Ubunge wake unampa nafasi ya kuwakilisha wananchi wa Chamwino katika Bunge na kushiriki katika mijadala kuhusu sera, sheria na maendeleo ya taifa.

8. Sasa anaongoza Wizara ya Nishati
Ndejembi kwa sasa anaongoza Wizara ya Nishati, sekta ambayo ni mhimili muhimu wa uchumi wa Tanzania.

Nishati ina nafasi kubwa katika uzalishaji viwandani, biashara, kilimo, huduma za kijamii na maendeleo ya wananchi kwa ujumla.

9. Safari yake ya uongozi imepitia sekta tofauti
Kinachomtofautisha Ndejembi katika safari yake ya kisiasa ni uzoefu alioupata katika maeneo mbalimbali.

Kutoka TAMISEMI, Kazi, Vijana na Ajira, Ardhi hadi Nishati, amekuwa akipewa dhamana ya kusimamia sekta zenye umuhimu mkubwa kwa wananchi na maendeleo ya nchi.

10. Anaendelea kujenga historia yake mwenyewe ya kisiasa

Ingawa ametoka katika familia yenye historia kubwa ya uongozi ndani ya CCM, Ndejembi ameendelea kujenga safari yake mwenyewe katika siasa na utumishi wa umma.

Historia ya uongozi wa baba yake, Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, ni sehemu muhimu ya kuelewa mazingira ya kisiasa aliyokulia. Hata hivyo, nyadhifa ambazo Deogratius Ndejembi ameshika zimejenga wasifu wake binafsi ndani ya Serikali na siasa za Tanzania.

Hitimisho

Deogratius John Ndejembi ana historia inayounganisha siasa za CCM, utumishi wa umma na uongozi wa kitaifa. Akiwa mtoto wa Mzee Pancras Mtemi Ndejembi, mwanasiasa mkongwe aliyelitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa muda mrefu mkoani Dodoma, amekulia katika mazingira yenye historia ya uongozi wa kisiasa.

Leo, Ndejembi anahudumu kama Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chamwino, akiendelea na safari yake ya uongozi katika sekta muhimu kwa uchumi na maendeleo ya Tanzania.

Safari kutoka Dodoma, kupitia nyadhifa mbalimbali za Serikali hadi kupewa dhamana ya kuongoza sekta ya nishati, inamfanya Deogratius Ndejembi kuwa mmoja wa wanasiasa ambao historia yao inafuatiliwa kwa karibu katika siasa za Tanzania.

Video: CCM Yamvua Uanachama Nchimbi Siku Moja Baada ya Kujiuzulu

Global Publishers
August 26, 2026
438 views
0 Comments

CCM Yamvua Uanachama Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kumvua uanachama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Agosti 26, 2026, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba.

Dkt. Migiro amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kufanyika kwa vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM, vilivyokaa kujadili suala la maadili ya Dkt. Nchimbi ndani ya chama.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, vikao hivyo vilifikia uamuzi wa pamoja wa kumfuta uanachama Dkt. Nchimbi.

Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Dkt. Nchimbi, Agosti 25, 2026, kutangaza kujiuzulu nafasi yake ya Makamu wa Rais.

Akizungumza wakati wa kutangaza uamuzi huo, Dkt. Nchimbi alisema amejidhihirishia pasina shaka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahitaji Makamu mwingine wa Rais.

Kujiuzulu kwake kumeongeza mabadiliko makubwa katika uongozi wa juu wa Serikali, huku hatua ya CCM ya kumvua uanachama ikifuata muda mfupi baada ya tangazo lake la kujiuzulu.

Sababu 7 Zinazofanya Ndizi Mbivu Kuwa Tunda Bora kwa Afya

Global Publishers
August 27, 2026
3,212 views
0 Comments

Ndizi mbivu ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu pamoja na virutubisho muhimu vinavyopatikana ndani yake. Mbali na kuwa chanzo kizuri cha nishati, ndizi mbivu zina faida mbalimbali za kiafya zinazoweza kusaidia kuboresha ustawi wa mwili.

1. Hutoa Nishati kwa Haraka
Ndizi mbivu zina kiwango kizuri cha wanga na sukari asilia ambazo mwili huzitumia kuzalisha nguvu. Hii ndiyo sababu ndizi hupendekezwa kwa watu wanaofanya mazoezi, wanafunzi na watu wenye shughuli nyingi za kila siku.

2. Husaidia Mfumo wa Mmeng’enyo wa Chakula
Ndizi zina nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia kuboresha usagaji wa chakula tumboni. Ulaji wa ndizi unaweza kusaidia kupunguza tatizo la kufunga choo na kusaidia mfumo wa mmeng’enyo kufanya kazi vizuri.

3. Huchangia Afya Bora ya Moyo
Madini ya potassium yaliyomo kwenye ndizi husaidia kudhibiti shinikizo la damu na kusaidia moyo kufanya kazi kwa ufanisi. Ulaji wa ndizi kwa kiasi unaweza kuwa sehemu ya lishe inayosaidia afya ya moyo.

4. Huimarisha Afya ya Misuli
Potassium pia ni muhimu katika utendaji wa misuli. Kula ndizi kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya kupata maumivu ya misuli au kukakamaa hasa baada ya kufanya shughuli nzito za mwili.

5. Huboresha Hali ya Moyo na Hisia
Ndizi zina virutubisho vinavyosaidia mwili kuzalisha serotonin, kemikali inayohusishwa na hisia za furaha na utulivu. Hii inaweza kusaidia kuboresha hali ya moyo kwa baadhi ya watu.

6. Huimarisha Kinga ya Mwili
Ndizi zina vitamini na madini mbalimbali yanayosaidia mwili kupambana na magonjwa na kuimarisha mfumo wa kinga.

7. Husaidia Kudhibiti Hamu ya Kula
Kutokana na kuwa na nyuzinyuzi nyingi, ndizi husaidia mtu kushiba kwa muda mrefu zaidi, jambo ambalo linaweza kusaidia kudhibiti ulaji wa vyakula kupita kiasi.

Ndizi mbivu ni tunda lenye virutubisho vingi na faida mbalimbali kwa afya ya mwili. Zinasaidia kuongeza nguvu, kuboresha mmeng’enyo wa chakula, kuimarisha afya ya moyo na misuli pamoja na kusaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa. Kuingiza ndizi katika mlo wa kila siku kwa kiasi kinachofaa kunaweza kuwa hatua muhimu katika kuimarisha afya kwa ujumla.