Kinachosubiriwa Ijumaa kesi ya Lissu
Dar es Salaam. Hatima ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili imeingia katika hatua muhimu, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kupanga Ijumaa, Agosti 21, 2026, kutoa…
Mahakama kuamua Kesi ya Lissu Ijumaa
Dar es Salaam. Hatima ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili imeingia katika hatua muhimu, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kupanga Ijumaa, Agosti 21, 2026, kutoa…
Nishati mbadala yatajwa kuwa suluhu ya uharibifu wa mazingira
Tabora. Matumizi ya nishati mbadala yameendelea kutajwa kuwa suluhu ya kudumu ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira na changamoto za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo rafiki kwa mazingira, huku wadau wakihimizwa kuwekeza na kuhamasisha…
MUHAS yaanzisha tiba ya kibingwa ya kinywa, meno kwa watoto
Dar es Salaam. Watoto wenye matatizo ya meno nchini wameanza kupata huduma kutoka kwa madaktari bingwa baada ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kuanzisha kituo maalumu cha huduma za afya ya kinywa na meno kwa watoto. Kituo…
Wakurugenzi wa Halmashauri wabebeshwa zigo la mazingira
Dodoma. Wakurugenzi wa halmashauri nchini Tanzania wameagizwa kusimamia na kuwa mfano wa kupunguza matumizi ya plastiki katika ofisi zao ili kulinda mazingira. Agizo hilo limetolewa leo Januari 17, 2026 na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…
Wadau wataka mipango ya tabianchi izingatie jinsia
Dar es Salaam. Wakati dunia ikiendelea kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi, wadau wameonya kuwa vita hiyo haitakuwa na tija iwapo haitazingatia masuala ya kijinsia, hususan haki za afya ya uzazi na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. Onyo…
Afrika kugeukia teknolojia ya AI kuimarisha usalama wa mitihani
Arusha. Mabaraza ya mitihani barani Afrika yameshauriwa kutumia mifumo ya kidijitali, uchanganuzi wa data na akili unde (AI) kubaini na kudhibiti udanganyifu wa mitihani unaozidi kuwa wa kisasa, ili kuboresha ubora wa elimu na kuzalisha wanafunzi wenye…
CookFund yachochea mapinduzi ya nishati safi, wanafunzi 62,000 wanufaika
Dar es Salaam. Zaidi ya wanafunzi 62,000 nchini wamenufaika na matumizi ya nishati safi ya kupikia kutokana na usakinishaji wa majiko ya kisasa katika shule na taasisi za umma zaidi ya 45, huku idadi ya majiko ikizidi 170. Hatua hiyo imechukuliwa kupitia…
Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais Samia atoa neno
Unguja. Rais, Samia Suluhu Hassan amesema kero ya maji iliyodumu kwa muda mrefu Kizimkazi na maeneo mengine ya Kusini Unguja, imefikia mwisho, baada ya kuzindua miradi miwili ya maji huku akiwataka wananchi kuitunza miundombinu hiyo. Rais Samia ametoa…
Aliyedai fidia ya Sh40 milioni kwa kulea mimba ya mtoto asiye wake, agonga mwamba kortini
Singida. Omary Mgana, amegonga mwamba katika jitihada zake za kudai fidia ya Sh40 milioni kutoka kwa mke wake wa zamani, Hadija Willa, akidai alimficha ujauzito wa mwanaume mwingine wakati akifunga naye ndoa mwaka 1997. Omary alidai Sh10 milioni…