Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Michezo

Leo Ni Leo! Yanga na JKT Tanzania Kukiwasha KMC Complex

By admin
August 24, 2026 1 Min Read
Comments Off on Leo Ni Leo! Yanga na JKT Tanzania Kukiwasha KMC Complex

Global Publishers
August 24, 2026
414 views
0 Comments

Yanga SC leo Agosti 24, 2026 inatarajiwa kushuka dimbani kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex kuanzia saa 18:00 jioni.

Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku Yanga ikilenga kuendelea na mwenendo mzuri katika msimu huu, wakati JKT Tanzania ikisaka matokeo mazuri dhidi ya mabingwa hao.

Akizungumzia mchezo huo, Msemaji wa Yanga, Ali Kamwe, amesema mashabiki wamekuwa wakisubiri kwa muda kuona timu yao ikicheza katika uwanja huo.

“Mashabiki wameusubiri kwa muda mchezo huo na sasa siku imefika ya kuiona timu yao ikicheza katika Uwanja wa KMC,” amesema Ali Kamwe.

Aidha, Kamwe amewataka mashabiki wa Yanga kukata tiketi kupitia simu zao ili kuepuka usumbufu wakati wa kuingia uwanjani.

Mashabiki wa Yanga wanatarajiwa kujitokeza kwa wingi KMC Complex kushuhudia mchezo huo, huku klabu ikiwataka kufanya maandalizi mapema kwa kukata tiketi kabla ya kwenda uwanjani.

Mchezo huo unaongeza hamasa katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, huku macho ya mashabiki yakielekezwa KMC Complex kusubiri kuona nani ataibuka na pointi tatu.

Stori na Na Haika Urio | GPL – TUDACO

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Leo Ni Leo! Yanga na JKT Tanzania Kukutana KMC Complex

Next

Mbunge Shigongo Aipongeza Kanisa Katoliki Kwa Kuhubiri Amani – Video

Recent Posts

  • Thunder Riches: Fortune Eagle, Mchezo Mpya Watingisha Meridianbet
  • BONANZA LA BUNGE KULENGA AFYA NA MSHIKAMANO WA WATUMISHI
  • JAMII YAHIMIZWA KUTUMIA VYAKULA VYA MIMEA ASILI KUIMARISHA KINGA ZA MWILI
  • Doumbia Bado Anajitafuta! Ashindwa Kutamba Dhidi ya Coastal
  • WANANCHI URU KUSINI WACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 200 KUKARABATI SHULE

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme