Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Michezo

Doumbia Bado Anajitafuta! Ashindwa Kutamba Dhidi ya Coastal

By admin
August 28, 2026 1 Min Read
Comments Off on Doumbia Bado Anajitafuta! Ashindwa Kutamba Dhidi ya Coastal

Shechambo Chris
August 28, 2026
18 views
0 Comments

Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Doumbia bado anajitafuta kutokana na kushindwa kufungua ukurasa wa mabao katika mechi 4 za ligi zilizochezwa na vinara 2026/27.

Raia huyo wa Mali alianza kikosi cha kwanza Agosti 27,2026 ubao wa Uwanja wa Meja Jen. Isahmuyo uliposoma Simba SC 1-0 Coastal Union, Bao la ushindi kwenye mchezo huo lilifungwa na Ismail Toure dakika ya 74.

Rekodi zinaonyeshwa kuwa Doumbia alitumia dakika 63 uwanjani baada ya Kocha Mkuu, Steve Barker kumpa nafasi kuanza kupambania nembo ya timu hiyo.

Katika dakika hizo Doumbia alifanya jaribio moja la hatari dakika ya 9 kwa mguu wa kulia. Jaribio hilo liligonga mwamba na kurejea uwanjani.

Majaribio mengine aliyofanya ilikuwa dakika ya 20 kwa pigo la kichwa akitumia pasi ya kona iliyopigwa na Libase Gueye. Dakika ya 24, 27, 36, 57.

Alionyeshwa kadi ya njano dakika ya 59 kwa kumchezea faulo nyota wa Coastal Union, Alichezewa faulo dakika ya 21.

Licha ya balaa ambalo alionyesha uwanjani, Doumbia hajapata bahati kufunga ndani ya ligi na timu yake inaongoza ligi ikiwa na pointi 12.

Safu ya ushambuliaji ya Simba SC imefunga jumla ya mabao 7, Toure na Clatous Chama kila mmoja amefunga mabao mawilimawili.
Lunyamadzo Mlyuka, DarTU

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

WANANCHI URU KUSINI WACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 200 KUKARABATI SHULE

Next

JAMII YAHIMIZWA KUTUMIA VYAKULA VYA MIMEA ASILI KUIMARISHA KINGA ZA MWILI

Recent Posts

  • JAMII YAHIMIZWA KUTUMIA VYAKULA VYA MIMEA ASILI KUIMARISHA KINGA ZA MWILI
  • Doumbia Bado Anajitafuta! Ashindwa Kutamba Dhidi ya Coastal
  • WANANCHI URU KUSINI WACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 200 KUKARABATI SHULE
  • UN YAITAKA TANZANIA KUSITISHA UHAMISHAJI WA WAMASAI NGORONGORO NA LOLIONDO
  • ‘NCHIMBI SIO CHAWA’ – WARIOBA

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme