Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Luizer ampongeza Asha Baraka – HabariLeo

By admin
August 21, 2026 1 Min Read
Comments Off on Luizer ampongeza Asha Baraka – HabariLeo

MSANII wa muziki wa dansi nchini, Luizer Nyoni Mbutu amempongeza Asha Baraka kwa mchango wake katika kuendeleza muziki wa dansi, akisema kupitia Bendi ya Twanga Pepeta imeweza kutoa ajira kwa zaidi ya familia 40.

Luizer amesema Asha ni mwanamke mwenye juhudi na asiyekata tamaa, akimtaja kama mmoja wa watu walioendelea kupigania maendeleo ya bendi hiyo na muziki wa dansi kwa ujumla. “Ni mwanamke na nusu, ni mpambanaji asiyekata tamaa. Leo hii ni Mbunge wa Viti Maalumu, amepambana kwa miaka mingi hadi kupata nafasi hiyo, lakini pia ameipigania Bendi ya Twanga Pepeta kwa muda mrefu,” amesema Luizer.

Amesema mchango wa Twanga Pepeta hauishii katika burudani pekee bali pia umekuwa chanzo cha ajira kwa wasanii na wafanyakazi mbalimbali, hivyo kusaidia familia nyingi kupata kipato. Kwa mujibu wa Luizer amesema juhudi alizofanya Asha Baraka ni mfano wa namna sanaa inavyoweza kuchangia katika uchumi na kuwasaidia watu kujipatia kipato kupitia vipaji na ajira zinazotokana na sekta hiyo. SOMA: Bella, El Saadat, Twanga Pepeta kukiwasha Valentine Day

 

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Ray Kigosi Atoa Siri ya Familia, Chuchu Hansy Atarajia Mtoto wa Pili – Video

Next

Simba Yakiri Singida Black Stars ni Bora, Lakini Yalenga Pointi Tatu Kesho

Recent Posts

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Akutana na Araqchi Tehran
  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme