Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Michezo

Simba Yakiri Singida Black Stars ni Bora, Lakini Yalenga Pointi Tatu Kesho

By admin
August 21, 2026 2 Min Read
Comments Off on Simba Yakiri Singida Black Stars ni Bora, Lakini Yalenga Pointi Tatu Kesho

Global Publishers
August 21, 2026
60 views
0 Comments

Simba SC imekiri kuwa Singida Black Stars ni timu yenye ubora mkubwa kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/27, lakini imeweka wazi kuwa inalenga kupata ushindi.

Timu hizo zinatarajiwa kukutana kesho, Agosti 22, katika Uwanja wa Airtel, zikiwa zote zimecheza michezo miwili katika mwanzo wa msimu.

Singida Black Stars imeanza msimu kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate, kabla ya kutoka sare ya 1-1 na Kagera Sugar ugenini.

Kwa upande wa Simba SC, kikosi hicho kilianza kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar na kufuatiwa na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji FC.

Akizungumzia mchezo huo, Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema wanatambua ubora wa Singida Black Stars na kwamba mchezo hautakuwa rahisi.

“Malengo yetu ni kuona kwamba tunashinda mchezo wetu na tunatambua kwamba hautakuwa mchezo rahisi kutokana na ubora wa wapinzani wetu,” alisema Barker.

Mchezo huo unatarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa kutokana na rekodi nzuri ya timu hizo katika michezo yao ya mwanzo wa msimu, huku Simba ikitegemea uwezo wa washambuliaji wake akiwemo **Libasse Gueye**, wakati Singida Black Stars ikiwa na mshambuliaji wake kinara **Jonathan Sowah**.

Hii itakuwa mara ya pili kwa Singida Black Stars na Simba SC kukutana katika Uwanja wa Airtel, baada ya mchezo wao wa kwanza katika uwanja huo kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Luizer ampongeza Asha Baraka – HabariLeo

Next

Mbegu bora, chachu ya kilimo cha ushindani – HabariLeo

Recent Posts

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Akutana na Araqchi Tehran
  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme