Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Sample Page
  • Home
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

AFISA WA FIFA AFUTWA KAZI BAADA YA KUKOSOA MPANGO WA INFANTINO

By admin
August 18, 2026 1 Min Read
Comments Off on AFISA WA FIFA AFUTWA KAZI BAADA YA KUKOSOA MPANGO WA INFANTINO

 

Alikuwa mmoja wa wakosoaji wakubwa wa mipango ambayo baadae ilifutiliwa mbali ya rais wa FIFA Gianni Infantino, ya kuuza hisa za Kombe la Dunia na michuano mingine kwa wawekezaji binafsi.

Katika taarifa, msemaji wa FIFA alithibitisha tu kwamba “ushirikiano wa kikazi kati ya FIFA na Kevin Lamour katika nafasi ya Afisa Mkuu wa Uendeshaji umekamilika tarehe 17 Agosti 2026.”

“FIFA inamshukuru Kevin kwa miaka yake miwili ya huduma na inamtakia kila la heri katika maisha yake ya baadaye.”

Mwezi uliopita, Bwana Lamour alisema kuwa mipango ya kuuzia wawekezaji binafsi hisa iliwahadaa wafanyakazi wa FIFA na kuutaja mradi huo kama “mradi wa mtu mmoja.”

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

DC Magoti awaahidi ajira vijana wa Mgambo Kisarawe

Next

Mwili wa mwanamume wakutwa porini karibu na eneo la Jeshi Makuburi

Recent Posts

  • Serikali yatoa siku nane kwa wazalishaji saruji kushusha bei
  • Mchengerwa ataja vipaumbele sita kupunguza vifo vya mama, mtoto
  • Babu adai kupigwa ngwara na mwalimu Bahi
  • Kibwagizo cha wimbo wa ‘kilio cha mtu mzima’ kilivyotumika kesi ya ardhi
  • Mwili wa mtoto wa miaka saba wakutwa shimoni Tabora

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme