Comments Off on RAIS WA KONGO MHE FELIX ANTOINE APOKELEWA NA RAIS DKT SAMIA IKULU NDOGO ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Ikulu Ndogo Zanzibar,Agosti 18, 2026.