MAGAZETINI LEO IJUMAA AGOSTI 14/2026:TRA KUVUKA MALENGO KWAMGUSA BALOZI OMARI,MADAKTARI BINGWA WAPIGA KAMBI HOSPITAL YA TOSAMAGANGA IRINGA…
<img alt="" border="0" data-original-height="887" data-original-width="2560" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhphjRvscMWq5RLwwbsy2XGrzPRiJTnqHC7lLtkkWxqFPu8nd8-…
SUA YASISITIZA MAWASILIANO YA KISAYANSI KUFIKISHA MATOKEO YA UTAFITI KWA JAMII
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Kituo cha Umahiri cha Afya Moja (SACIDS Foundation for One Health) na wadau wengine wa utafiti, imeendelea kuimarisha juhudi za kuhakikisha matokeo ya tafiti yanawafikia wananchi na watumiaji…
MAHAFALI YA DARASA LA SABA 2026 ST DOMINIC SAVIO IRINGA PICHA ZOTE HIZI HAPA
TAZAMA VIDEO YA MAFAL I BOFYA LINK HII TAZAMA PICHA ZA MNATO KUPITIA LINK HII
ASKOFU MIHALI AWATAKA WAZAZI KUENDANA NA DIRA 2050 KWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU
NA MATUKIO DAIMA MEDIA IRINGA Askofu wa Jimbo Katoliki Iringa Romanus Elamu Mihali amewataka wazazi na walezi kuendana na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa kuwekeza zaidi katika elimu ya watoto akisema elimu ni msingi muhimu wa maendeleo ya…
Ziara ya Rais Tshisekedi kufungua ukurasa mpya wa biashara, amani
Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kuanzia leo Agosti 17 hadi kesho Agosti 18, 2026, ikiwa ni mara yake ya tatu kutembelea Tanzania tangu alipochaguliwa kuwa…
SEKTA YA MADINI YAVUTIA UWEKEZAJI WA TRILIONI 9 NDANI YA MIAKA MINNE*
▪️Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa ▪️Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro ▪️Tanzania yawa kivutio kikubwa cha uwekezaji sekta ya Madini Afrika ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira…
VETA YAANDAA MTAALA WA MAFUNZO YA MUDA MFUPI WA FANI YA RECYCLING
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika sekta ya taka na kuongeza thamani ya taka zinazoweza…
VETA IMETAKIWA KUENDELEA KUWASHIRIKISHA WATAALAMU WALIOBOBEA FANI MBALIMBALI
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetakiwa kuendelea kuwashirikisha wataalamu waliobobea katika fani mbalimbali zinazotolewa vyuoni, ili kuwezesha mafunzo kwa vitendo na kujenga umahiri kwa vijana. Rai hiyo imetolewa Agosti 15, 2026…
BAHI IMETENGA MILLION 100 KUTOKA MAPATO YAKE YA NDANI KUSAIDIA VIJANA WA WILAYA KUPATA ELIMU VETA
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imeonyesha mfano wa namna halmashauri zinavyoweza kutumia mapato ya ndani kuwekeza katika elimu ya Amali (ufundi na ufundi stadi) kuwaandalia vijana fursa za ajira kupitia Mfuko wa Elimu. Bahi inatenga shilingi milioni 100…
*WAKULIMA WA KITOMONDO WANUFAIKA NA HUDUMA YA MAWASILIANO*
Wakulima katika Kijiji cha Kitomondo wamenufaika na kuimarika kwa huduma za mawasiliano ambayo imeondoa changamoto kubwa ya ugawaji dawa, pembejeo na upatikanaji wa masoko kupitia mfumo wa kidijitali. Akizungumzia mafanikio hayo, Katibu wa Chama cha…