Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Watu Wawili Wafariki Baada ya Kujinyonga Dagailoi, Babati – Video

By admin
August 28, 2026 1 Min Read
Comments Off on Watu Wawili Wafariki Baada ya Kujinyonga Dagailoi, Babati – Video

Global Publishers
August 28, 2026
6 views
0 Comments

Watu wawili, wakazi wa Kijiji cha Dagailoi, Kata ya Sigino, Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti baada ya kujinyonga.

Tukio la kwanza lilitokea Agosti 22, 2026, ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Petro Moya anadaiwa kujinyonga baada ya kutokea mvutano kuhusu bili ya maji ya Shilingi 6,000 kati yake na mama yake mzazi.

Inadaiwa kuwa Petro alipewa fedha hizo na mama yake kwa ajili ya kulipia bili ya maji, lakini alizitumia kwa shughuli nyingine. Baada ya mama yake kumdai fedha hizo, Petro alichukua uamuzi wa kujinyonga.

Tukio la pili limetokea asubuhi ya leo, Agosti 27, 2026, ambapo mwanaume mwingine aliyefahamika kwa jina la Mohamed Abdilai amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Inadaiwa kuwa Mohamed alichukua uamuzi huo baada ya baba yake mzazi kumtaka arejee nyumbani, kufuatia kushindwa kulipa kodi ya nyumba ya Shilingi 10,000.

Mwandishi wa Global TV, Hosea El Nino, amefika katika Kitongoji cha Dagailoi kufuatilia undani wa matukio hayo.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

TANESCO NA MAHAKAMA NYANDA ZA JUU KUSINI ZAIMARISHA MAHUSIANO KULINDA MIUNDOMBINU YA UMEME

Next

Inashangaza! Simba Yashinda, Lakini Mashabiki Watoa Lawama Kwa Doumbia – Video

Recent Posts

  • Mafuriko Yaua Watu 100 Nepal, Zaidi ya 1500 Hawajulikani Walipo
  • WAZIRI MKUU: NDEJEMBI ANATOSHA KUMSAIDIA RAIS
  • UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino, Mashabiki Wamlipua
  • OUT na Mzumbe Watangaza Nafasi 6 za Kazi, Mwisho wa Maombi Agosti 31
  • Bunge la Tanzania leo: Deogratius Ndejembi Kuthibitishwa Kuwa Makamu wa Rais – Video

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme