Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Siri Nzito! Ndege Ya Malaysia Iliyopotea Angani, Haijulikani Ilipoelekea-Video

By admin
August 21, 2026 1 Min Read
Comments Off on Siri Nzito! Ndege Ya Malaysia Iliyopotea Angani, Haijulikani Ilipoelekea-Video

Shechambo Chris
August 21, 2026
948 views
0 Comments

Tarehe 8 Machi 2014, ndege ya Malaysia Airlines aina ya Boeing 777 iliondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kuala Lumpur kuelekea Beijing, China.

Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na watu 239, abiria 227 pamoja na wafanyakazi 12 wa ndege,safari ilianza kawaida, bila taarifa yoyote ya tatizo kubwa. takribani dakika 40 baada ya kuruka, ndege hiyo ilipotea kwenye mifumo ya kawaida ya rada.

Maneno ya mwisho yaliyosikika kutoka kwenye chumba cha marubani yalikuwa “Good night, Malaysian three seven zero.” Kisha mawasiliano yakakatika.

Lakini kilichofuata ndicho kilichoufanya ulimwengu kuanza kujiuliza maswali makubwa.

Transponder ya ndege ilizimwa, na ndege ikaacha kufuata njia yake ya kawaida kuelekea Beijing, badala yake, Boeing 777  ilibadilisha mwelekeo na kuanza kuruka kuelekea magharibi.

Kwa muda mfupi, ndege hiyo iliendelea kuonekana kwenye mifumo ya rada za kijeshi. Hata hivyo, hakuna mawasiliano ya kawaida yaliyokuwa yakipatikana kutoka kwenye ndege .

Swali likawa moja Kwa nini ndege iliyokuwa na watu 239 ilibadilisha njia ghafla na kutoweka bila kutoa tahadhari?



Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Luizer awasihi wanawake kutunza ngozi – HabariLeo

Next

Miaka 11 Baada Ya Kustaafu, Ronaldinho Arejea Kwenye Soka

Recent Posts

  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS
  • Dili la Sh Bilioni 418! Liverpool Yafikia Makubaliano na PSG kwa Barcola

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme