Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Luizer awasihi wanawake kutunza ngozi – HabariLeo

By admin
August 21, 2026 1 Min Read
Comments Off on Luizer awasihi wanawake kutunza ngozi – HabariLeo

MSANII wa muziki wa dansi, Luizer Nyoni Mbutu, amewashauri mabinti na wanawake kuthamini na kutunza ngozi zao kwa kuepuka matumizi ya bidhaa zinazoweza kuathiri afya ya ngozi. Akizungumza na Daily News Digital, Luizer amesema amewahi kukumbana na changamoto hiyo baada ya kushawishiwa na rafiki yake kutumia bidhaa iliyosababisha ngozi yake kuharibika.

Amesema licha ya kuwa si rahisi kuacha matumizi ya bidhaa hiyo, kwa sasa ngozi yake imeanza kuimarika na kurejea katika hali yake ya awali.Kutokana na uzoefu huo, amewataka wanawake kujipenda na kutokubali shinikizo la kubadilisha mwonekano wa ngozi zao kwa kutumia bidhaa bila kufahamu madhara yake.

“Akili za kuambiwa changanya na zako. Uzuri si kujichubua, ni wewe mwenyewe kukipenda na kuithamini ngozi uliyonayo,” amesema Luizer. Amesisitiza umuhimu wa kuchagua bidhaa salama na kuwa makini na ushauri wanaoupata kuhusu utunzaji wa ngozi. SOMA: Mungu ndiye nguvu ya mafanikio

 

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Iran Yakosoa Vikwazo Vipya vya Marekani, Yavitaaja “Ugaidi wa Kiuchumi”

Next

Siri Nzito! Ndege Ya Malaysia Iliyopotea Angani, Haijulikani Ilipoelekea-Video

Recent Posts

  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS
  • Dili la Sh Bilioni 418! Liverpool Yafikia Makubaliano na PSG kwa Barcola

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme