Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

TAKRIBANI WATOTO 14 WAMETEKETEA WAKIWA HOSPITALINI, NCHINI PAKISTAN

By admin
August 26, 2026 1 Min Read
Comments Off on TAKRIBANI WATOTO 14 WAMETEKETEA WAKIWA HOSPITALINI, NCHINI PAKISTAN

 

Takriban watoto wachanga 14 wamefariki baada ya moto kuteketeza wodi ya watoto katika hospitali moja mjini Islamabad, nchini Pakistan.

Moto huo unasemekana kusababishwa na hitalafu ya mfumo wa kiyoyozi.

Moto huo ulianza mapema leo asubuhi katika Taasisi ya Sayansi za Tiba ya Pakistan (PIMS), kwenye ghorofa la tatu lenye wodi ya mama na mtoto.

Tukio hilo ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi ya moto kuwahi kutokea katika hospitali nchini Pakistan.

Kulikuwa na watoto wachanga 16 katika wodi hiyo wakati moto huo ulipozuka, mmoja aliokolewa.

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amezitaka mamlaka husika kufanya uchunguzi wa haraka kuhusu tukio hilo.

“Wahusika wanapaswa kutambuliwa na hatua kali zaidi zichukuliwe,”

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

MWANAMUZIKI DOLLY PARTON AFARIKI AKIWA NA MIAKA 80

Next

Allen Robinson Astaafu NFL Baada ya Miaka 11, Aanza Maisha Mpya

Recent Posts

  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS
  • Dili la Sh Bilioni 418! Liverpool Yafikia Makubaliano na PSG kwa Barcola

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme