Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

Video: Wabunge 324 Wamthibitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

By admin
August 28, 2026 1 Min Read
Comments Off on Video: Wabunge 324 Wamthibitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

Global Publishers
August 28, 2026
48 views
0 Comments

Wabunge 324 wamepiga kura za “Ndiyo” kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kura hiyo imefanyika leo, Agosti 28, 2026, katika kikao cha Bunge jijini Dodoma, kufuatia jina la Ndejembi kuwasilishwa kwa ajili ya uthibitisho.

Katika mchakato huo, hakukuwa na kura ya “Hapana” wala kura iliyoharibika, hivyo Ndejembi amepata uungwaji mkono wa asilimia 100 ya kura zilizopigwa.

Uthibitisho huo unafungua njia kwa Ndejembi kuapishwa rasmi na kuanza majukumu yake kama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Hatua ya Mwisho kwa Ndejembi Bungeni, Waziri Ammwagia Sifa (Picha +Video)

Next

USHIRIKIANO WA NHIF NA ZHSF WAVUTIA KAMATI YA BAJETI YA BARAZA LA WAWAKILISHI

Recent Posts

  • Tanzania, DR Congo wakubaliana kuwarejesha wakimbizi – HabariLeo
  • POLISI YAWATAKA WANANCHI KUWAJUA JIRANI ZAO
  • Kitawaka EPL Wikiendi Hii, Macho Yatakuwa Liverpool, United, Arsenal
  • Aunty Ezekiel Afichua Siri Za Mastaa, “Zamani Tulitoka Na Wanaume Wakubwa”
  • Mwang’oda aagiza usimamizi miradi ya CSR – HabariLeo

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme