Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Burudani

Maganya: Jumuiya ya Wazazi Yaunga Mkono Nchimbi Kuvuliwa Uanachama – Video

By admin
August 28, 2026 1 Min Read
Comments Off on Maganya: Jumuiya ya Wazazi Yaunga Mkono Nchimbi Kuvuliwa Uanachama – Video

Global Publishers
August 28, 2026
0 views
0 Comments

Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya, amesema jumuiya hiyo inaunga mkono uamuzi wa kumvua uanachama wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi.

Maganya ameyasema hayo Agosti 27, 2026, akiwa Misungwi, mkoani Mwanza, wakati wa ufunguzi wa sherehe za Wiki ya Wazazi Kitaifa.

Amesema msimamo huo unatokana na hatua zilizochukuliwa na chama dhidi ya Dkt. Nchimbi, huku akisisitiza umuhimu wa wanachama kuheshimu katiba, kanuni na maamuzi ya chama.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Baada ya Kimya, Mwijaku Amtaka Maua Sama Aachie Muziki Mpya

Next

TANESCO NA MAHAKAMA NYANDA ZA JUU KUSINI ZAIMARISHA MAHUSIANO KULINDA MIUNDOMBINU YA UMEME

Recent Posts

  • OUT na Mzumbe Watangaza Nafasi 6 za Kazi, Mwisho wa Maombi Agosti 31
  • Bunge la Tanzania leo: Deogratius Ndejembi Kuthibitishwa Kuwa Makamu wa Rais – Video
  • Inashangaza! Simba Yashinda, Lakini Mashabiki Watoa Lawama Kwa Doumbia – Video
  • Watu Wawili Wafariki Baada ya Kujinyonga Dagailoi, Babati – Video
  • TANESCO NA MAHAKAMA NYANDA ZA JUU KUSINI ZAIMARISHA MAHUSIANO KULINDA MIUNDOMBINU YA UMEME

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme