Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Burudani

Bahasha yenye jina la Makamu wa Rais Mteule yatua bungeni – HabariLeo

By admin
August 28, 2026 1 Min Read
Comments Off on Bahasha yenye jina la Makamu wa Rais Mteule yatua bungeni – HabariLeo

DODOMA; Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, leo Agosti 28 , 2026 amepokea rasmi jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, lililopendekezwa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Jina hilo limewasilishwa kwa Spika na Katibu wa Rais Balozi Ali Jabir Mwadini akiwa ameambatana na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali, Nyamburi Mashauri kwa ajili ya kuthibitishwa na Bunge.

Mapokezi ya Jina hilo yameshuhudiwa na Naibu Spika, Daniel Sillo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, pamoja na Katibu wa Bunge , Baraka Leonard.Wengine ni Wenyeviti wa Bunge, Deogratius Mwanyika, Najma Giga na Cecilia Pareso.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

MADIWANI CHUNYA WAONYWA KUTIMIZA WAJIBU WAO.

Next

Majirani jengeni utamaduni wa kutambuana – HabariLeo

Recent Posts

  • Tanzania, DR Congo wakubaliana kuwarejesha wakimbizi – HabariLeo
  • POLISI YAWATAKA WANANCHI KUWAJUA JIRANI ZAO
  • Kitawaka EPL Wikiendi Hii, Macho Yatakuwa Liverpool, United, Arsenal
  • Aunty Ezekiel Afichua Siri Za Mastaa, “Zamani Tulitoka Na Wanaume Wakubwa”
  • Mwang’oda aagiza usimamizi miradi ya CSR – HabariLeo

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme