Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Habari

RAIS SAMIA ARIDHIA OMBI LA DKT. NCHIMBI KUJIUZULU

By admin
August 25, 2026 1 Min Read
Comments Off on RAIS SAMIA ARIDHIA OMBI LA DKT. NCHIMBI KUJIUZULU

NA MATUKIO DAIMA MEDIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea rasmi barua ya ombi la kujiuzulu kwa Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, na kuridhia ombi hilo.

Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa leo, Agosti 25, 2026, na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Nchimbi ameomba kujiuzulu katika nafasi hiyo kuanzia Septemba 4, 2026.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Rais Samia ameridhia ombi hilo na kwamba taratibu za kikatiba za kumpata Makamu wa Rais mwingine zitachukuliwa.

Taarifa hiyo imesainiwa na Balozi Dkt. Moses M. Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Ikulu Yathibitisha Dkt. Nchimbi kujiuzulu Umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Next

*WAZIRI MKUU AWATAKA WATANZANIA KUIMARISHA MALEZI, KULINDA AMANI NA KUTIMIZA WAJIBU*

Recent Posts

  • Rais Samia Ateua na Kuhamisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Tawala
  • RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA
  • Mavunde Ampongeza Ndejembi “Ni Kiongozi Kijana, Mwadilifu na Mzalendo” – Video
  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS
  • Dili la Sh Bilioni 418! Liverpool Yafikia Makubaliano na PSG kwa Barcola

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme