Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Michezo

Hull City Yaibuka na Ushindi wa Mabao 2-0 dhidi ya Manchester United

By admin
August 23, 2026 2 Min Read
Comments Off on Hull City Yaibuka na Ushindi wa Mabao 2-0 dhidi ya Manchester United

Global Publishers
August 23, 2026
852 views
0 Comments

Hull City imeanza vyema kurejea kwake katika Ligi Kuu England baada ya kuifunga Manchester United mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza wa msimu wa 2026/27 uliochezwa Jumamosi, Agosti 22, 2026, kwenye Uwanja wa MKM.

Hull City ilianza mchezo kwa kasi na kupata bao la kwanza dakika ya 17 kupitia Semi Ajayi, aliyefanikiwa kuipatia timu yake uongozi wa 1-0.

Manchester United ilijaribu kurejea mchezoni na kutafuta bao la kusawazisha, lakini ilishindwa kutumia nafasi ilizopata.

Dakika ya 38, Hull City iliongeza bao la pili kupitia Nobel Mendy, aliyefunga baada ya mpira wa faulo na kuwafanya wenyeji kwenda mapumziko wakiwa mbele kwa mabao 2-0.

Kipindi cha pili, Manchester United iliongeza presha na kumiliki sehemu kubwa ya mchezo, huku ikitengeneza baadhi ya nafasi za kufunga. Hata hivyo, washambuliaji wake walishindwa kuzitumia nafasi hizo.

Kipa wa Hull City alifanya sevu muhimu katika kipindi hicho na kusaidia timu yake kulinda ushindi huo hadi dakika ya mwisho.

Matokeo hayo yanaifanya Hull City kuanza kwa kishindo kurejea kwake Ligi Kuu England, huku Manchester United ikianza msimu wa 2026/27 kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini.

Ushindi huo ni mwanzo mzuri kwa Hull City, wakati Manchester United itakuwa na kazi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika mchezo huo kabla ya michezo inayofuata.

Stori na Haika Urio | GPL – TUDACO

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

Mwenge wa uhuru wapongeza ujenzi wa wodi ya wazazi Kakola – HabariLeo

Next

Wanafunzi 95 waelekea India masomoni – HabariLeo

Recent Posts

  • MWABUKUSI: KUFUKUZWA CCM KWA NCHIMBI HAKUMVUI MOJA KWA MOJA UMAKAMU WA RAIS
  • Dili la Sh Bilioni 418! Liverpool Yafikia Makubaliano na PSG kwa Barcola
  • Droo ya UEFA Champions League Msimu wa 2026/27 Kufanyika Leo Monaco
  • Kesi ya Uhaini ya Lissu Yaendelea leo;- Maswali Mazito Yaibuka Katika Dodoso la Serikali
  • Nafasi za Kazi Wezesha Mzawa Microfinance – Loan Officer, Mwisho wa Maombi Agosti 31, 2026

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme