Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Sample Page
  • Home
  • Sample Page
Subscribe
Close

Search

Habari

*WAKULIMA WA KITOMONDO WANUFAIKA NA HUDUMA YA MAWASILIANO*

By admin
August 17, 2026 1 Min Read
0

Wakulima katika Kijiji cha Kitomondo wamenufaika na kuimarika kwa huduma za mawasiliano ambayo imeondoa changamoto kubwa ya ugawaji dawa, pembejeo na upatikanaji wa masoko kupitia mfumo wa kidijitali.

 

Akizungumzia mafanikio hayo, Katibu wa Chama cha Ushirika – Kitomondo (AMCOS) Yusuf Mansouri amesema hapo awali walikuwa wanapata changamoto kubwa kwa wakulima kuchelewa kupata huduma lakini baada ya Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuwawezesha mnara wa mawasiliana changamoto hizo zimemalizika.

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imetekeleza mradi wa ujenzi wa Minara 768 ya kimkakati ya mawasiliano wenye lengo la kuwezesha upatikanaji wa huduma ya mawasiliano kwa wananchi waishio yasiyo maeneo machache ya mjini na vijijini yenye yasiyo na mvuto wa kibiashara kwa watoa huduma.

 

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

MAGAZETINI LEO JUMATATU AGOSTI 17/2026

Next

BAHI IMETENGA MILLION 100 KUTOKA MAPATO YAKE YA NDANI KUSAIDIA VIJANA WA WILAYA KUPATA ELIMU VETA

No Comment! Be the first one.

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Posts

  • Wabunifu zaidi ya 300 kushiriki maonyesho Tanga
  • Bunge lasogezwa mbele kupisha sherehe za Maulid
  • Agizo la Chalamila Stendi ya Magufuli lapingwa
  • TRA Songwe kuanzisha klabu za kodi shule za sekondari
  • GLOBAL EDUCATION LINK YAPELEKA WANAFUNZI 198 CHINA NA 189 INDIA

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Habari
  • Magazeti
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme