Skip to content
-
Subscribe to our newsletter & never miss our best posts. Subscribe Now!
Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

Habarimpya

Habari Mpya Kilasiku

  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Home
  • Privacy Policy
  • Sample Page
Close

Search

  • https://www.facebook.com/
  • https://twitter.com/
  • https://t.me/
  • https://www.instagram.com/
  • https://youtube.com/
Subscribe
Burudani

Linah Aahidi Burudani ya Kipekee Kwenye Miaka 30 ya Bongo Fleva – Video

By admin
August 22, 2026 1 Min Read
Comments Off on Linah Aahidi Burudani ya Kipekee Kwenye Miaka 30 ya Bongo Fleva – Video

Global Publishers
August 22, 2026
12 views
0 Comments

DODOMA: Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, amefunguka kuhusu maandalizi yake kuelekea shoo ya kusherehekea Miaka 30 ya Bongo Fleva, inayofanyika jijini Dodoma.

Linah amesema mashabiki wanaweza kutarajia burudani ya aina yake, huku akiahidi kuwa amejipanga vyema kwa ajili ya kupanda jukwaani na kutoa burudani pamoja na “sapraiz” mbalimbali.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Chinangali Park, Dodoma, Agosti 22, 2026, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya muziki wa Bongo Fleva.

Akizungumza kupitia Global TV, Linah pia amefunguka kuhusu historia ya mahusiano yake na msanii Amini, akieleza kuwa tofauti zilizojitokeza baina yao zilikuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea kuvunjika kwa uhusiano wao.

Mbali na suala hilo, Linah amezungumzia pia wimbo “Yalaiti”, ambao alishirikishwa na msanii na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mwana FA.

Kwa sasa, Linah ni miongoni mwa wasanii wanaotarajiwa kutoa burudani katika maadhimisho hayo, huku mashabiki wakisubiri kuona “sapraiz” alizoahidi kwa ajili ya shoo hiyo.

Author

admin

Follow Me
Other Articles
Previous

NaCoNGO MKOMBOZI WA MAENDELEO MUFINDI -MAKALA

Next

Marekani Yaongeza Shinikizo la Kiuchumi Dhidi ya Iran, China Yafunguka

Recent Posts

  • UN YAITAKA TANZANIA KUSITISHA UHAMISHAJI WA WAMASAI NGORONGORO NA LOLIONDO
  • ‘NCHIMBI SIO CHAWA’ – WARIOBA
  • TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YAANZA UKAGUZI KWA WAKUSANYAJI NA WACHAKATAJI WA TAARIFA HIZO NCHINI.
  • HALMASHAURI YA MAFINGA MJINI HATUJAFUKUZA WATUMISHI WA AFYA BADO TUNAUHITAJI -KAIMU MKURUGENZI
  • SERIKALI KUTUMIA SH1.39 TRILIONI KUKARABATI VIFAA TIBA

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on Hello world!

Archives

  • August 2026

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Magazeti
  • Michezo
  • Siasa
Copyright 2026 — Habarimpya. All rights reserved. Blogsy WordPress Theme